Wadau,
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa mmoja wa watangaza nia wa uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Hamisi Kigwangala anafikiria kujitoa kwenye kinyang'anyiro hicho mara baada ya kushindwa kupata wadhamini 450 kutoka mikoa 15 nchini huku mikoa mitatu ikiwa ni kutoka Zanzibar na angalau mkoa mmoja uwe wa Unguja au kisiwa cha Pemba...Habari zisizo rasmi zinadai Ndugu Hamisi Kigwangala amefanikiwa kupata wadhamini 289 mpaka sasa...ikumbukwe mwisho wa kurejesha fomu ni tarehe 2 July 2015 kabla ya saa kumi jioni....
Kila la heri Ndugu Hamisi Kigwangala katika kufanikisha akidi hiyo.
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa mmoja wa watangaza nia wa uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Hamisi Kigwangala anafikiria kujitoa kwenye kinyang'anyiro hicho mara baada ya kushindwa kupata wadhamini 450 kutoka mikoa 15 nchini huku mikoa mitatu ikiwa ni kutoka Zanzibar na angalau mkoa mmoja uwe wa Unguja au kisiwa cha Pemba...Habari zisizo rasmi zinadai Ndugu Hamisi Kigwangala amefanikiwa kupata wadhamini 289 mpaka sasa...ikumbukwe mwisho wa kurejesha fomu ni tarehe 2 July 2015 kabla ya saa kumi jioni....
Kila la heri Ndugu Hamisi Kigwangala katika kufanikisha akidi hiyo.