Masikini Hamis Kigwangalla, Akosa wadhamini 450 nchi nzima

Masikini Hamis Kigwangalla, Akosa wadhamini 450 nchi nzima

Ina maana waliompa Ubunge, wameshindwa kumpatia kura zinazohitajika? Hili jamaa bora lijione likisimama lenyewe watu wanalionaje. Maana lilizowea kubebwa na team-wama ambayo kwa sasa iko bize na membe na kumtupa yeye amekuwa kama mtoto mkiwa.
 
Acha waendelee kuumbuka..mwisho wa dharau aibu..

Mi niliyajua haya mapema, ubunge wenyewe alibebwabebwa kwa kumuwekea Bashe tuhuma kuwa siyo raia wa Tanzania!! Nina wasi wasi na udaktari wake huyu mtu, hana akili timamu
 

Nakumbuka maneno ya Mzee Sita aliposema siasa inahitaji ngozi ngumu, maana utakutana na watu wa kila aina na wenye akili tofauti na wote inabidi uwavumilie maana wote hao ni wananchi unaotaka kuwaongoza.

Naamini unalitambua hilo,songa mbele.
 
Rio Tinto

Ndugu Hamis Kingwangalla najua ni member wa hili jukwaa, hebu njoo uthibitishe au ukanushe hii taarifa.
 
Last edited by a moderator:

muonekano wa jimbo lako unafanana na akili zako,mnakaa bungeni unatetea utumbo yanayofanywa na chama chako mnafikiri hatuwaoni,hadi tunajiuliza hawa wabunge wana akili timamu kweli? uchumi tulionao hauendani na maliasili zetu,tanzania ilipaswa kuwa katika G7 ,kama tabora mnaona imekuwa dubai ni hukohuko sie hatujaridhika tunataka tanzania ifanane na mbinguni,nyie vilaza mtoke bungeni,kwa tanzania ilipofikia sasa inahitaji watu wa dizaini ya lema,iko siku tutagawana vyakwenu kama walivyofanya TUNISIA na EGYPT ,acheni kutuita wapole watu wameamka jiandaeni kugawana vyakwenu na wananchi ndio akili zitawakaa sawa
 
Nakumbuka maneno ya Mzee Sita aliposema siasa inahitaji ngozi ngumu, maana utakutana na watu wa kila aina na wenye akili tofauti na wote inabidi uwavumilie maana wote hao ni wananchi unaotaka kuwaongoza.

Naamini unalitambua hilo,songa mbele.

ndorobo mkubwa wewe
 
muonekano wa jimbo lako unafanana na akili zako,mnakaa bungeni unatetea utumbo yanayofanywa na chama chako mnafikiri hatuwaoni,hadi tunajiuliza hawa wabunge wana akili timamu kweli? uchumi tulionao hauendani na maliasili zetu,tanzania ilipaswa kuwa katika G7 ,kama tabora mnaona imekuwa dubai ni hukohuko sie hatujaridhika tunataka tanzania ifanane na mbinguni,nyie vilaza mtoke bungeni,kwa tanzania ilipofikia sasa inahitaji watu wa dizaini ya lema,iko siku tutagawana vyakwenu kama walivyofanya TUNISIA na EGYPT ,acheni kutuita wapole watu wameamka jiandaeni kugawana vyakwenu na wananchi ndio akili zitawakaa sawa
yani kigwangallah hafai hata ujunbe wa nyumba10 huwa nikumuona bungeni anavyotetea upyuuzi wa kiccm nazima tv.
 
Tahrir square lazima . nchi yoyote ambayo bendera yake haina rangi nyekundu lazima pawe na umaskin wa hali ya juu kabisa
 
Back
Top Bottom