Osaka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 1,762
- 555
unajua manake?
Mkuu, maana yake ni nini?
unajua manake?
unajua manake?
Niliuliza mwenye lugha yao nilipofahamu wana maanisha nini nilicheka sana.Na wewe umekarudia tena ngoja nicheke tu haaaa.
uchumi tulionao hauendani na maliasili zetu,tanzania ilipaswa kuwa katika G7 .
tunataka tanzania ifanane na mbinguni,nyie vilaza mtoke bungeni
Unaweza kutwambia kiuchumi ni nin kinachozuia Tanzania sasa kuingia kwenye G7?
Ni nin kifanyike ili uchumi wa Tanzania uwe sawa na nchi za G7 na raia wake kuishi maisha kama tupo mbinguni ndani ya miaka 5 ijayo?
Ritz,Msulibasi,Mmaliwa
lol eti na yeye anataka urais , , , , ,mweeeeeh ,kasigazi aka tikaina magezi
cha kufanya ni kufukuza mafisadi wote katika system na kuwanyonga kwa kuhujumu maisha ya maskin wa tanzania hii itasaidia kwa kiongoz mwingine mwenye tabia ya udokoz kuhofia maisha yake,pia kuweka wazi mikataba yote,na wala sio lazima tutumie rasilimali zote tulizonazo kwa wakati mmoja halafu bado tupo palepale.kuna mengi ya kufanya na naamini tunaweza ila tusisahau kuifurusha ccm
uchumi tulionao hauendani na maliasili zetu,tanzania ilipaswa kuwa katika G7 .
tunataka tanzania ifanane na mbinguni,nyie vilaza mtoke bungeni
Unaweza kutwambia kiuchumi ni nin kinachozuia Tanzania sasa kuingia kwenye G7?
Ni nin kifanyike ili uchumi wa Tanzania uwe sawa na nchi za G7 na raia wake kuishi maisha kama tupo mbinguni ndani ya miaka 5 ijayo?
Msulibasi,Mmaliwa
Kumbuka hoja yako ni hii
Hujajibu bado tunaendaje huku kiuchumi, Kiuchumi tatizo letu nin?wapi parekebishwe?na ni namna gani tunaenda kiuchumi kuwa G7 ndani ya miaka 5 ijayo?
Lisome vizuri swali, tusaidie jibu kichumi maana hoja yako ni ya uchumi
Kumbuka hoja yako ni hii
Hujajibu bado tunaendaje huku kiuchumi, Kiuchumi tatizo letu nin?wapi parekebishwe?na ni namna gani tunaenda kiuchumi kuwa G7 ndani ya miaka 5 ijayo?
Lisome vizuri swali, tusaidie jibu kichumi maana hoja yako ni ya uchumi
tatizo lililopo tanzania ni la kiuchumi ,only that
teh teh ushauri mzuri sana.. then Ritz awe waziri kamili ktk hiyo wizara.Sasa amtumie wema sepenga kupata wadhamini ili in return ampe ubunge wa kuteuliwa na kisha unaibu waziri michezo sanaa..... Alisema wema anafaa sana kuwa mbunge
Swali ni jinsi gani tunaenda kwenye uchumi wa G7 ndani ya miaka 5?
Kumbuka ni wewe ndio umesema Tanzania inaweza kuwa nani ya G7 na kuwa na uchumi wa Mbinguni.Sikuwahi kuisikia hili kabla ndio maana napenda unipe shule jinsi gani jambo hilo linawezekana katika miaka 5 ijayo?tunafikajefikaje huko kichumi?nipe shule ya uchumi kuhusu hilo.
Mama HELLENA ELINAWINGA kaamua kazitelekeza fomu zake pale ccm makao makuu Dododma, anadai amechoka kuombwa rushwa.. Ha!ha!ha! Nchi ngumu hii hawajui watu wanataka pesa kabla ya sera?
yani kigwangallah hafai hata ujunbe wa nyumba10 huwa nikumuona bungeni anavyotetea upyuuzi wa kiccm nazima tv.
Our next president...Hahaha[/QUOTE
na makamu wake ni shilole shishii baby
yaan anamwachia rasm jimbo shilole kwel tabora kuna wabunge..na yule msomal wa tabora mjin hana tofaut na huyu bwn kwa kuropoka bungen...wamrudie Mungu wanatabora