Mashudu ya pamba yanapatikana wapi kwa wingi?

Mashudu ya pamba yanapatikana wapi kwa wingi?

COLINI

Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
12
Reaction score
2
Wakuu hivi mashudu ya pamba yanapatikana wapi kwa wingi na bei yake ni bei gani? kuna wahindi apa dar wanayaulizia hivyo natafuta pa kuyapata niwe nawaletea mzigo. naomba anaye jua anifahamishe tafadhari. nimewauliza mna nunua bei gan wakasema wao wanataka kujua mimi nitawauzia bei gan? hivyo nimeshindwa kujua bei ya kuwaambia nataka nijue ni bei gan mkoan na mpaka kufikisha dar itakuwa bei gan , natanguliza shukrani zangu.naomba msaada sana kwa ajuae
 
ngoja kuna namba ntaitaitafuta ni pm kesho nakupa namba ya mwenye kiwanda uchonge nae.
 
Mkuu! Wasiliana na mkurugenzi msaidizi wa kampuni inayochambua pamba pale shinyanga 0757888001 mpigie kuanzia saa tatu na nusu,atakupa update zote pia ntakufanyia quotation kwa sababu hata mimi nilishafanya biashara hiyo zamani kidogo
 
Mkuu! Wasiliana na mkurugenzi msaidizi wa kampuni inayochambua pamba pale shinyanga 0757888001 mpigie kuanzia saa tatu na nusu,atakupa update zote pia ntakufanyia quotation kwa sababu hata mimi nilishafanya biashara hiyo zamani kidogo

Asante sana kaka nitampigia kesho
 
Tafadhsri piga namba hii 0767351958,kilo moja iko tshs 540~600 pia ujaribu tena namba ile cos ni viwanda viwili tofauti
 
ngoja kuna namba ntaitaitafuta ni pm kesho nakupa namba ya mwenye kiwanda uchonge nae.

Mkuu salama, naomba unitumie hiyo namba ya mwenye kiwanda cha mashudu ya pamba. natanguliza shukuran
 
Wakuu hivi mashudu ya pamba yanapatikana wapi kwa wingi na bei yake ni bei gani? kuna wahindi apa dar wanayaulizia hivyo natafuta pa kuyapata niwe nawaletea mzigo. naomba anaye jua anifahamishe tafadhari. nimewauliza mna nunua bei gan wakasema wao wanataka kujua mimi nitawauzia bei gan? hivyo nimeshindwa kujua bei ya kuwaambia nataka nijue ni bei gan mkoan na mpaka kufikisha dar itakuwa bei gan , natanguliza shukrani zangu.naomba msaada sana kwa ajuae
mashudu ya pamba na alizeti yapo mimi ni muuzaji na msambazaji ukihitaji office yangu ipo ubungo maziwa na gongo la mboto
 
namba ya
Mkuu! Wasiliana na mkurugenzi msaidizi wa kampuni inayochambua pamba pale shinyanga 0757888001 mpigie kuanzia saa tatu na nusu,atakupa update zote pia ntakufanyia quotation kwa sababu hata mimi nilishafanya biashara hiyo zamani k
Wakuu hivi mashudu ya pamba yanapatikana wapi kwa wingi na bei yake ni bei gani? kuna wahindi apa dar wanayaulizia hivyo natafuta pa kuyapata niwe nawaletea mzigo. naomba anaye jua anifahamishe tafadhari. nimewauliza mna nunua bei gan wakasema wao wanataka kujua mimi nitawauzia bei gan? hivyo nimeshindwa kujua bei ya kuwaambia nataka nijue ni bei gan mkoan na mpaka kufikisha dar itakuwa bei gan , natanguliza shukrani zangu.naomba msaada sana kwa ajuae
namba yangu 0714089200 au 0787152341 mashudu ya pamba na alizeti ngumu na ilisogwa pia mahindi yapo nauza kwa bei ya jumla na reja reja,ahsante
 
Back
Top Bottom