TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,873
- 11,252
ninatambua uwepo wao lakini tusilazimishane kuwatetea au kuwapa promo in the arms of donorsMkuu, ninaheshimu sana mawazo yako! Mimi ninaamini watu ndio wanaweka historia na si historia inaweka watu! bado mashoga si kipaumbele kwa wakati huu! Ila wao wanatusukuma tujadili matukio bila ya sisi kufahamu!