Mashoga WAISHTAKI Tanzania UN

Ama kweli hii globalization inatupeleka pabaya. Jamani watanzania wenzangu inatupasa kuwa na uwezo wa kuchambua chuya na mchele jamani. Kwa nini hatujifunzi kuiga yaliyo mazuri na yenye faida kwetu? Haya ya haki za mashoga yatatufikisha wapi? Mimi nafikiri ni vema hawa watu wa haki za binadamu wakawa na kipengele cha uhiari wa nchi fulani katika jambo fulani sio kwa kuwa jambo linakubalika duniani kote basi na nchi kama nchi lazima ilikubali, maadili yetu tunayaweka wapi? Mf. Kama ushoga unakubalika Ufilipino si lazima ukubalike Tanzania so shirika la haki za binadamu halina haki ya kuilazimisha Tanzania kuwapa mashoga haki!!

Ah sijui hata kama nimeandika kinachoeleweka!
 
Mjadala utakuwa ni mgumu kwa kuwa mashoga wana dhamira ya kushinda na wapingaji vivyo hivyo,kwanini watatetezi wa mashoga wanaegmia sana kwenye haki za binanadamu kana kwamba haki ni kwenye ushoga tuu,Mbona hakuna uhuru wa kunywa gongo wakati inamdhulu mtumiaji anayetumia kwa mapenzi yake, Mko wapi wapigania haki za binadamu kuwatetea wanywa gongo wanavyonyanyaswa kwa kutumia kile wakipendacho lakini kwenye ushoga mmenyenyua bendera juu...
 
Mjadala utakuwa ni mgumu kwa kuwa mashoga wana dhamira ya kushinda na wapingaji vivyo hivyo,kwanini watatetezi wa mashoga wanaegmia sana kwenye haki za binanadamu kana kwamba haki ni kwenye ushoga tuu,Mbona hakuna uhuru wa kunywa gongo wakati inamdhulu mtumiaji anayetumia kwa mapenzi yake, Mko wapi wapigania haki za binadamu kuwatetea wanywa gongo wanavyonyanyaswa kwa kutumia kile wakipendacho lakini kwenye ushoga mmenyenyua bendera juu...

ulusungu haya ndio madhara ya utandawazi na kwa kuwa ushoga ni suala la dunia (global) ni lazima liwe globalized but gongo siyo so haiwezi kutandazwa through utandawazi!

Kweli tunapotoka
 
kwa mujibu wa BBC leo asubuhi,, mashoga kusini mwa jangwa la sahara wana maambukizi ya Ukimwi mara 10 zaidi ya wanaofanya mapenzi kwa njia za kawaida....na hii, kwa mujibu wa watafiti, inasababishwa na ile hali ya wao kujificha ficha kwa sababu hawakubaliki katika jamii

sasa kwa kusema ivo sijaunga mkono uhalalishaji wa ushoga...
 
kwa mujibu wa BBC leo asubuhi,, mashoga kusini mwa jangwa la sahara wana maambukizi ya Ukimwi mara 10 zaidi ya wanaofanya mapenzi kwa njia za kawaida....na hii, kwa mujibu wa watafiti, inasababishwa na ile hali ya wao kujificha ficha kwa sababu hawakubaliki katika jamii

sasa kwa kusema ivo sijaunga mkono uhalalishaji wa ushoga...

Hapa tutawajua wengi, Mkuu tutajuaje kama wewe si mtetezi wa haki za Mashoga? Duuu this is too pathetic to take.....
 
Ama kweli hii globalization inatupeleka pabaya. Jamani watanzania wenzangu inatupasa kuwa na uwezo wa kuchambua chuya na mchele jamani. Kwa nini hatujifunzi kuiga yaliyo mazuri na yenye faida kwetu? Haya ya haki za mashoga yatatufikisha wapi? Mimi nafikiri ni vema hawa watu wa haki za binadamu wakawa na kipengele cha uhiari wa nchi fulani katika jambo fulani sio kwa kuwa jambo linakubalika duniani kote basi na nchi kama nchi lazima ilikubali, maadili yetu tunayaweka wapi? Mf. Kama ushoga unakubalika Ufilipino si lazima ukubalike Tanzania so shirika la haki za binadamu halina haki ya kuilazimisha Tanzania kuwapa mashoga haki!!
Ah sijui hata kama nimeandika kinachoeleweka!

Mimi nadhani sio sahihi kusema kuwa globalisation ndio inayoleta haya. Yalikuwepo hapa petu kabla ya hiyo globalisation. Nakumbuka kwenda Tanga mara ya kwanza mwanzoni kabisa mwa miaka ya 90 na alikuwepo shoga maarufu kwa jina la "Aunt Mudi" alidumu kwa muda mrefu hadi umauti uliponkuta alipokutana na wajeshi wa kimarekani waliokwenda kufanya mazoezi ya kijeshi Tanga miaka ya 2000. Hili limeendelea kuwepo na idadi imeongezeka siku hadi siku!

Ndani ya JF na Tz sikuhizi tG sio kampuni ya simu selula tena. Kama unakuwa mpenzi wa tG, sio wote wanayo (wa kiume na wa kike). Hii inaonyesha mambo yanaendelea kushika kasi kweli kweli.

Mimi manoni yangu ni kuwa jamii ilifuatilia kwa makini hili na kutafakari ni wepi tulikopotezea madili yetu? Ni kwa vipi sisi wazazi tunachukua muda wetu wa kutosha kuhakikisha kuwa tunawalea watoto wetu ili kuwaepushia kuingizwa katika michezo hii mibaya ambao huingizwa bado wakiwa chini ya miaka 14 wengi wao. Ni kwa vipi tunahakikisha kuwa malazi ya wanetu ni salama? na sio tu unapofikiwa na mgeni kama ni mwanamume, unaenda kumlaza na kijana wako au mwanamke kumlaza na binti yako bila kutafakari mara kibao?

Haki ni haki pale ambapo wanaoihitaji haki hiyo wapo, na pale haki inapotangazwa ujue kuwa jamii nayo inahamasika zaidi pia kuelekea upande huo wenye haki. Kama jamii tutafakari na tuchukue hatu japo kupunguza kasi ya kukua kwa vitendo hivi!

Iko kazi kweli!
 
Mimi nadhani sio sahihi kusema kuwa globalisation ndio inayoleta haya. Yalikuwepo hapa petu kabla ya hiyo globalisation. Nakumbuka kwenda Tanga mara ya kwanza mwanzoni kabisa mwa miaka ya 90 na alikuwepo shoga maarufu kwa jina la "Aunt Mudi" alidumu kwa muda mrefu hadi umauti uliponkuta alipokutana na wajeshi wa kimarekani waliokwenda kufanya mazoezi ya kijeshi Tanga miaka ya 2000. Hili limeendelea kuwepo na idadi imeongezeka siku hadi siku! [/QOUTE]

Nono nilikuwa namaanisha hizi movement za kudai haki za mashoga. Ni kweli kuwa ushoga ulikuwapo tangu zamani lakini kusimama hadharani na kudai haki ni matokea ya kuona/sikia kuwa nchi flani mashoga wanadai haki zao na ni kitu cha kawaida otherwise ingebaki kisiri siiri kama ilivyokuwa mwanzo!
 
Ndani ya JF na Tz sikuhizi tG sio kampuni ya simu selula tena. Kama unakuwa mpenzi wa tG, sio wote wanayo (wa kiume na wa kike). Hii inaonyesha mambo yanaendelea kushika kasi kweli kweli.

Kwani ukiwa unatumia ya jinsia tofauti nayo ni kosa?
Yaani unaendeleza libeneke la opposite wako sioni kama nikosa unakula kote kote tu kama kawa unajiexpress lakini hii ya magay mmmmmh chafu sipendi hata kuyaona.
 
Hapa tutawajua wengi, Mkuu tutajuaje kama wewe si mtetezi wa haki za Mashoga? Duuu this is too pathetic to take.....


Mkuu, sasa hapo na mimi sikuelewi, I have been very clear hapo juu...kinachotakiwa kwenye huu mjadala ni objectivity, na mimi kwa kujua hilo ndo nikaleta kipande hicho cha utafiti,, sio msimamo wangu binafsi.

Ungeutia changamoto huo utafiti, na sio msimamo wangu binafsi mkuu ambao kwa makusudi mazima unataka kuupotosha!
 
Hauna madhara kivipi? Kwanini watu waishi maisha ya woga na kujificha bila sababu maalum?
Haya si mambo ya dunia ya kwanza, bongo yapo na kila mtu anajua.

Kwanini basi tusiwaruhusu wanao ua albino nao waendelee maana nao wangependa ku exercise imani yao ya kuua albino to get whatever they wish bila hofu au siyo? Mimi nachukulia mashoga na wasagaji kama watu wenye matatizo ya akili na si watu wenye akili timamu ndo maana wanashindwa kupamabanua matumizi sahihi ya viungo vyao maana viungo vya binadamu timamu wa akili vina elewa kazi zake bila matatizo kama akili iko timamu ndo maana kama huja ua hisia zako kitu chochote cha hatari kikitokea mwili lazima usisimke involuntarly ila unaweza ku train akili yako na isitokee hivyo. Nikama mtu anaesema kwakua mdomo wangu sipendi chakula kipitie hapo then kwasababu nahitaji tumbo kushiba basi ntaanza kula kwakupitia sehemu ya kwendea haja kwani si mdomo na hiyo sehemu zote zinawasiliana na tumbo na zina fanya kazi zinazo fanana ila moja inatoa na nyingine inaingiza je huo ni uhuru au matatizo ya akili ambayo inatoa signo ya kipi mwili ufanye pale hitaji linapotokea? Mtoto mchanga amefundishwa na nani kujua jinsi ya kunyonya? Na I guess akitokea akazaliwa mtoto ambae hajui jinsi ya kunyonya basi area to suspect is brain na si kitu kingine na tunamwita huyo mtoto mlemavu so is to our brothers and sisters wanahitaji matibabu they are deformed. Kwahiyo wanachohitaji si uhuru bali matibabu sahihi kama wakisema nchi haitujali sisi wenye matatizo na hivyo hai invest kwenye jinsi ya kuondoa matatizo yetu mimi ntakuwa wakwanza kuungana nao ila kusema wapewe uhuru wakuendeleza ulemavu wao badala ya kuutibu hapo nadhani tukiwaunga mkono basi hatuwapendi for they need to be helped to be normal human beings so as they can also enjoy like many of us do.
 
Kwani ukiwa unatumia ya jinsia tofauti nayo ni kosa?
Yaani unaendeleza libeneke la opposite wako sioni kama nikosa unakula kote kote tu kama kawa unajiexpress lakini hii ya magay mmmmmh chafu sipendi hata kuyaona.

Kama na wewe unafanya hayo basi jua wewe na wao ni abiria walioko kwenye chombo hicho hicho cha safari ila class tofauti tu mmoja yuko economy class na mwingine yuko bussiness class ila usafiri ule ule na direction ile ile so wote ni wasafiri kuelekea direction ya ulemavu wa akili maana viungo vyenu havi sanse normally due to the signals of your brains watu wakiona nyekundu nyie brain ina interprete blue. The difference is the majority are in the opposite side.
 
Nono nilikuwa namaanisha hizi movement za kudai haki za mashoga. Ni kweli kuwa ushoga ulikuwapo tangu zamani lakini kusimama hadharani na kudai haki ni matokea ya kuona/sikia kuwa nchi flani mashoga wanadai haki zao na ni kitu cha kawaida otherwise ingebaki kisiri siiri kama ilivyokuwa mwanzo!

Nakumbaku huko nyuma kabla ya miaka ya 90 nchini zimbabwe waliwahi kudai haki za wase*ge. Au labda ni kwa kuwa mdosi wao wa kwanza alikuwa nae mshughulikaji, kwani alipatikana na hatia ya kumshughulikia bodyguard wake!
Cheche mara nyingi hutokea pale anapopatikana right person kulibebea bango jambo fulani.
 
Haya ni matatizo yanayotokana na utandawazi. Siyo kila kitu kinachofanyika au kinachosemwa katika nchi zilizoendelea ni sahihi na nchi zinazoendelea kama Tanzania tuige. Ingawaje Tanzania inaamini katika haki za binadamu ila tofauti na wenzetu inathamini zaidi utu wa binadamu kama ilivyoainishwa kwenye "African Charter on Human and People's Rights". Kwa nchi zilizoendelea wanathamini zaidi haki za mtu binafsi/individual rights, kitu ambacho ni hatua mbili au tatu zaidi ya haki za binadamu ambazo zinafahamika kwa ujumla.
 
hapa tutawajua wengi, mkuu tutajuaje kama wewe si mtetezi wa haki za mashoga? Duuu this is too pathetic to take.....
mada imepata watetezi kiasi hiki? Huyu julius kyaruzi ni member wa jf au mtu tofauti na huyu anaelilia haki za ushoga?.
Hii imethibitisha jf tuna watu wa kila aina.
 
Waswahili husema "Mwenye nguvu mpishe". Sasa hivi dunia iko kwenye mapambano kati ya tamaduni zenye nguvu dhidi ya zile zilizo dhaifu. Tamaduni zenye nguvu ni hizo za mataifa yaliyoendelea na yanataka kuueneza utamaduni wao kwa hali na mali na kumeza tamaduni zetu, mila na desturi. Kile wamarekani na nchi za ulaya wanachokisimamia wanataka iwe sheria ya dunia, wote wafuate. Ndiyo haya mambo ya ushoga.

Nchi za magharibi zinataka kueneza ushoga dunia nzima kama mtindo wa maisha. Nasi kwa kuwa kila cha mzungu ni chema, watu bila kuchambua wanafuata. Jamani, sisi waafrika hatuwezi kupinga tamaduni za ovyo kweli? Kwa nini tunakuwa makasuku wa kila kitu? Nakubali kwamba ushoga ulikuwepo hata miaka ya nyuma. Lakini ulikuwa wa mtu mmoja mmoja tena kwa siri. Tatizo la sasa ni kwamba mashoga sasa wameamua kujiunga na kuja kama organised group. Tunapaswa kuwa macho. Mashoga na wasagaji ni watu waliokengeuka kiakili na kimaadili. Ni wagonjwa. Wanahitaji tiba!! Tusiwatetee. Tuwaambie kwamba ni wagonjwa na walijue hilo. Tuwasaidie kutoka huko. Hata vitabu vya dini vimeukataa ushoga. Hao wanaotaka kuuhalalisha wanaweka utetezi wao katika msingi upi?

Mashoga wenyewe pia wanajua kwamba tabia au maumbile yao hayo ni ugonjwa ndo maana wanajificha. Tusitetee vitu vya ajabuajabu. Serikali haiwezi kuwakubali kisheria eti tu kwa sababu ni wengi sasa, na kwa kuwa nchi nyingine zimewakubali. Hayo ni yao. Lakini sisi si utamaduni wetu watanzania. Si maadili mema tangu zamani mpaka leo hii. Kumbe mashoga badala ya kudai "haki" ya kuishi ushoga wadai "haki" ya kusaidiwa kupona hilo gonjwa.
 
Inahitajika tasfsiri sahihi ya hizi HAKI ZA BINADAMU ili tuweze kubainisha pasipo shaka kama kuna haki zinakiukwa au la! Haki za binadam zifuate na jinsia za binadamu wenyewe, tutafikia pahala hata choo kuwa za jinsia tofauti tukajakuta kuna uma unadai ni ukiukaji wa HAKI ZA BINADAMU,Naamini kitendo cha mwanaume kumwingilia mwanamume mwenzie kana kwamba ni mwanamke ni ukiukaji mkubwa wa HAKI ZA BINADAMU vivyo hivyo kwa mwanamke amfanyavyo hivyo mwanamke mwenzie. Hili neno haki za binadamu linatumiwa vibaya na majambazi wa ustaarabu duniani
 
Back
Top Bottom