Mashoga sasa rukhsa jeshi la Marekani

kivipi sasa? bongo kuna mashoga wangapi wako saluni wanawasuka? au bata akinya kaharisha sio

Mkuu hatari ni kuona wanajeshi mapunga wakiwa vitani,huku mabasha wakiwanyemelea.Kazi kwelikweli!!!
 
Sio ubaguzi kijana usichanganye mada hapa.Issue ni ushoga mbona UNATUTIA WASIWASI au na wewe ni kitafunio nini???
 

Kweli Ally Kombo,
Obama siyo msafi kama anavyojieleza kuwa yeye ni Mcha Mungu! Aibu na ni hatari kwake na Kizazi chake! hawawezi kwenda Qatar 2022 kama wanafanya uchafu huo! wafutiwe wao kama watakataa! na umesema ukweli kama nilivyohighlight hapo juu, Mtu anayejipambanua kuwa anamwabudu Mungu wa kweli haogopi kusema ukweli! atasimamia ukweli na atakuwa mkweli! wasitudanganye na 'demokrasia na haki za mwanadamu' Nani kasema haki ni kuruhusu Kulawiti! ufiraji! hiyo ni laana na ni kwenda kinyume na Mungu atoaye hiyo HAKI! Mwisho wa yote tutaonana mbele za mwenye Haki,Mbele ya mtoa hukumu!
 

ndhani na wewe uko huko huko ndo maana mshasahau maadili ya kwenu na kuona ushoga unakubalika..mkikaa sana nje na mkarudi na tabia zenu za kishoga tutawapiga vita na kuwabagua sana tuu no matter what you say...ushoga haukubaliki kwa maana yeyote ile.wengi wenu humu mnalijua hili, kwamba kimaadili ya kiafrika na kidini pia ushoga haukubaliki ila kwa kuwa wamefanya wamarekani na waingereza na kwa kuwa mnadhani kila wafanyacho wao ni bora then mko tayari hata kuuza utu wenu kwa kuwaunga mkono..eti ubaguzi..ofkozi kama huo mtaita ubaguzi basi na tutawabagua..ushoga ni laanakum kabisa...mnadhani mtaishi milelel kwenye hii dunia..acheni kumkasirisha Mungu maake naona mshajisahau..ushoga ni laana na itabaki kuwa laana iwe imefanywa na wamarekani au mtu mwingine yeyote yule..acheni kutuletea hizo..acheni mawazo yenu ya kishoga ...i am and will always say this...am out
 

acha hizo wewe..mbona nyie mashoga mnakimbilia kusema huo ni ubaguzi?? ushoga haukubaliki, na kama huo mtaita ubaguzi basi na tutawabagua sana...umezaliwa mwanamke unataka kuwa mwanaume..umezaliwa mwanaume unataka kuwa mwanamke ukiambiwa unasema ubaguzi?? acha hizo wee shoga, acheni laana hiyo...na mtuondolee huo upuuzi..yaani nyie kitu akifanya obama tuu basi iyo sawa..acheni ukuda..acheni ukuda kuweni hata na heshima kidogo kwa utu wenu nyie makauzu wenye mawazo ya kishoga...
 


shoga mwingine huyu..hebu tutoleeni hizi pumba..kitu wakifanya wamarekani eti sawa..civil right gani na wamarekani weusi mpaka kesho wanalia kubaguliwa...au unatafuta jinsi ya kuusapoti ushoga wao..acheni ushoga wewe...civil right ni kwa vitendo kama ilivo hapa bongo..hakuna mtu kubaguana..wao na kusaini kwao civil rights na mpaka kesho watu wanalia ubaguzi saivi unaanza kuchefua kwa kusema ushoga ni civil right..acha pumba zako..sio kila wafanyacho wao ndo right..mshaharibiwa na ushoga nyie..
 
kivipi sasa? bongo kuna mashoga wangapi wako saluni wanawasuka? au bata akinya kaharisha sio

Namaanisha ghadhabu ya Mungu itaongezeka juu yetu wanadamu na kutuangamiza kama ilivyo kuwa Sodoma na Gomora kwa kuendekeza sana dunia na kusahau maadili yake. Ushoga hauruhusiwi popote kwenye imani za dini.
 
Subirini kimbembe wakiwa kwenye un peace mission na watu kutoka mataifa mengine
 
mnh mbona mashoga hata hapa kwetu wapo,mmeusimamia kidedea ushoga wa marekani wakati hata hapa kaka zenu wanafanya mambo ya kishoga nyie vipi???
mashoga ni watu kama nyie...what one does in his bedroom remain none of you-r,mother ****ing bussiness!!!...ni choice ya mtu kuwa gay,kama ilivyo choice ya mtu kuwa na dini fulani kuwa na misimamo fulani katika maisha! just because your straight doesnt give you right to think you are more important than others(gay)!
 
Tuangalie kamusi zetu za Kiswahili kama neno Ushoga lina maana ya kujamiiana kati ya mume na mume. Neno halisi lipo la group hili.
 
DONT ASK DONT TELL BABU WEEEEE HAHAHAHAHAHHAHAHAHH !!!!! abdulhalim upo USTAARABU HUU ?????
 

Tofauti ya Tanzania na hao jamaa zako ni kuwa, hapa ni kosa na ni uhalifu kufanya kitendo hicho, pitia sheria ya makosa ya kujamiiana ya Jamhuri ya Muungano!
Kasoro, tatizo, mapungufu, au ugonjwa hauwezi kuhalalishwa kwa njia yeyote ile, bali hutafutiwa ufumbuzi wa kumaliza au kutatua! Wewe unafurahia Dada yako kunyimwa haki yake ya kuolewa kwa wanaume wawili (ndoa mbili) kuoana wenyewe kwa wenyewe?
 
Tuangalie kamusi zetu za Kiswahili kama neno Ushoga lina maana ya kujamiiana kati ya mume na mume. Neno halisi lipo la group hili.

Ni USENGE, sijui wankwepa nini? BBC wao hawachakachui wanakupa hivyo hivyo zima zima. Mi naona kukwepa ni njia moja ya kuwapa chati, inafaa liwasilishwe kama lilivyo!
 
uarabuni wataomba vita iendelee mapunga wapya kutoka marekani shee vita itaamia saudi
 
Hivi hawa jamaa waliosaini akiwemo Obama...ni dini gani?

Kama hawana dini tujue moja watengwe mara moja kanisani!
 

Wakati wote watenda maovu ukiwauliza sababu zao za msingi kufanya jambo ovu, watatetea kwa nguvu zote kwa visingizio mbali mbali!
Hivi hii Dunia kila jinsia ingeamua kwenda na jinsia mwenzake hii dunia watu wangekkuwepo? kwa maana nyingine hawa wanapinga mpaka ongezeko la watu Duniani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…