Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,268
- 1,267
Kuna kitu mimi huwa najiulizaga sipati majibu.Kwa Tz ushoga ni kosa kisheria,ila mbona kuna mashoga maarufu kina Bilal na wengine wengi wanajulikana lakini hakuna hatua yeyote dhidi yao inayochukuliwa?
Mimi naona hiyo sheria haisaidii lolote ktk kudhibiti huu ufirauni.
Bilal yupi uyo? Mbona wantishaaa