Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,189
- 3,548
Hakuna kitu kinachonikera kama kusikia mtu akishabikia USHOGA, ni jambo la kushangaza sana kuona na kusikia mtu kama Rais Barack Hussein Obama akilazimisha sisi Waafrika tuingie SODOMA NA GOMORA, hakika dhambi hii ni mpya kwa sisi waafrika tusiikubali kamwe. Napenda kumpongeza Rais YOWERI KAGUTA MSEVENI kwa kusaini mswada ule kuwa sheria dhidi ya tabia chafu ya MASHOGA. Heri ufe masikini kuliko kuwa tajiri kupitia ushoga au kwa nchi kupata misaada eti kwa kuunga mkono ushoga.
Kama ingekuwa ni ugonjwa basi wagonjwa hao walitakiwa kutengwa na jamii huku wakipata matibabu hadi wapone na kurudi katika jamii.
Ujumbe kwa Rais Barack H. Obama ni huu, "Kama kweli yuko serious basi amwache mkewe naye ajikite katika USHOGA "Aolewe kwa mwanaume mwenzake" na mkewe naye "aolewe" kwa mwanamke mwenzake, ILI ULIMWENGU UTAMBUE KUWA UNACHOSEMA UNAMAANISHA HIVYO.
Mr. President do not destroy Africa through homosexuality, this is a great sin as Sodoma and Gomora were punished buy Almighty God, please Sir could you enter into that game to mean it, someone in Uganda wants to marry you!!!
Kama ingekuwa ni ugonjwa basi wagonjwa hao walitakiwa kutengwa na jamii huku wakipata matibabu hadi wapone na kurudi katika jamii.
Ujumbe kwa Rais Barack H. Obama ni huu, "Kama kweli yuko serious basi amwache mkewe naye ajikite katika USHOGA "Aolewe kwa mwanaume mwenzake" na mkewe naye "aolewe" kwa mwanamke mwenzake, ILI ULIMWENGU UTAMBUE KUWA UNACHOSEMA UNAMAANISHA HIVYO.
Mr. President do not destroy Africa through homosexuality, this is a great sin as Sodoma and Gomora were punished buy Almighty God, please Sir could you enter into that game to mean it, someone in Uganda wants to marry you!!!