Mashishanga chukua mtoto wako CHADEMA-Mbowe

This is another Nape hakika kutumia masaburi ni issue sana kwenye Nchi duh !
 
MKUU UNAVYOBWABWAJA INAONEKANA WEWE ULIFAIDI SANA UONGOZI WA MKAPA. NDO ULIEKUWA UNASIMAMIA MRADI WA KIWIRA NINI? AU ANABEN BANK? SISI WENGINE TULICHOKA MBAYA KIPINDI CHA MKAPA NA HATUONI TOFAUTI NA kIKWETE. in short to me you wrote rubbish.

Sioni hoja kwenye maandiko yako. Mashishanga hadi mkapa wapi na wapi? Kiufupi simfagilii mkapa hata kidogo.

Nilichosema Mashishanga bila unafiki alishamkataa JK tokea wakati wa mbio za nomination. Na JK ameprove mwenyewe kwamba hafai. We unachoweza kufanya hapa ni kumtetea labda JK kwamba anafaa kwa kuweka hoja hapa ili upingane na mashishanga. Period!
 
Sioni hoja kwenye maandiko yako. Mashishanga hadi mkapa wapi na wapi? Kiufupi simfagilii mkapa hata kidogo.

Nilichosema Mashishanga bila unafiki alishamkataa JK tokea wakati wa mbio za nomination. Na JK ameprove mwenyewe kwamba hafai. We unachoweza kufanya hapa ni kumtetea labda JK kwamba anafaa kwa kuweka hoja hapa ili upingane na mashishanga. Period!

Aliyoongea Mashishanga yalikuwa mawazo yake na alistahili kutumia uhuru wake.Lakini huyu mzee mashishanga ni mzee makini kuliko kawaida.Ni yeye mtanzania pekee aliyeweza kupaza sauti ya kumkataa kikwete akijua fika kuwa hawezi kuiongoza nchi na aliweza kusimamia hilo na ndiyo maana hakubadilika hata JK alipoteuliwa hadi alipoachwa kuteuliwa na akakubali kwenda kuchunga ng'ombe morogoro.Mzee mashishanga ni msukuma ambaye hababaiki na hana unafiki na ndiyvyo walivyo wasukuma wengine.Usukumani kwa sasa CCM haikubaliki na JK analijua hilo na wasukuma walishamfikishia ujumbe huo JK.Kwa sasa wanajua rais wa nchi ni Dr.slaa na huo ni msimamo wao hawatabadilika kama ambavyo wameamua CHEYO kuwa mbunge wa kuajiriwa na si wa kuchaguliwa, kwa Mzee mamose CCM hawatii timu wanajua aibu wanazovuna kila mwaka wa uchaguzi na sasa usukuma yote imegeuka hivyo kwa kulalia kwa Dr.slaha kama anavyojulikana usukumani.

Kwa wasiowajua wasukuma wao wako tayari kumfanyia ukarimu hata aduai yao, watacheka na wewe sana, lakini ukifika wakati wa kuamua nini kifanyike watakuambia msimamo wao kuwa ni tofauti na wako, lakini ukarimu utapata.Hiki ndicho kinachoipata CCM kwa sasa usukumani, Nape anapokelewa kwa shangwa kama mgeni lakini ukifika wakati wa kupiga kura watamuonyesha wako upande gani!!!!!! Hawa watu wanachana live hawaumi maneno.Aliyofanya mashishanga alikuwa anawafariji wana-ccm lakini mzee yule si wa ccm tena, ukifanikiwa kuona anachokifanya kwenye sanduku la kura ndiyo utaamini maneno yangu.Yaya lulu nalemaga!!!!!!
 
Sioni hoja kwenye maandiko yako. Mashishanga hadi mkapa wapi na wapi? Kiufupi simfagilii mkapa hata kidogo.

Nilichosema Mashishanga bila unafiki alishamkataa JK tokea wakati wa mbio za nomination. Na JK ameprove mwenyewe kwamba hafai. We unachoweza kufanya hapa ni kumtetea labda JK kwamba anafaa kwa kuweka hoja hapa ili upingane na mashishanga. Period!

Mashishanga alikuwa akimfagilia mr. zero a.k.a sumaye, ambaye kwa sisi tunaomfahamu ni libepari la kutupwa. wewe unamuona mashishanga mwerevu kwa kumfagilia huyo zero wako? Ndo maana nikakuambia huyo mashishanga unayemuona wa maana kwa kumkataa kuruka mkojo (kikwete) alikuwa anatupeleka kwenda kukanyaga mavi (sumaye). Hiyo ndo iliyonipelekea kukushangaa.
Anyway, kama sikosei wote tuna lengo moja tu, kuboreka kwa maisha ya mTz hasa yule wachini kabisa.
kwahiyo hayo mengine yasiyo namaana yapotezee tu. I do. too.
 
Msameheni bure mzee kachoka kufikiri.

Haya ndiyo matatizo ya kufanya siasa kama kazi. Mzee wa watu yuko tayari kusema chochote hata kama hakina mantiki ili asikike tu. Namshauri azamaze tu kama hawezi kuchekecha mchele na pumba.
 
Aliyoongea Mashishanga yalikuwa mawazo yake na alistahili kutumia uhuru wake.Lakini huyu mzee mashishanga ni mzee makini kuliko kawaida.Ni yeye mtanzania pekee aliyeweza kupaza sauti ya kumkataa kikwete akijua fika kuwa hawezi kuiongoza nchi na aliweza kusimamia hilo na ndiyo maana hakubadilika hata JK alipoteuliwa hadi alipoachwa kuteuliwa na akakubali kwenda kuchunga ng'ombe morogoro.Mzee mashishanga ni msukuma ambaye hababaiki na hana unafiki na ndiyvyo walivyo wasukuma wengine.Usukumani kwa sasa CCM haikubaliki na JK analijua hilo na wasukuma walishamfikishia ujumbe huo JK.Kwa sasa wanajua rais wa nchi ni Dr.slaa na huo ni msimamo wao hawatabadilika kama ambavyo wameamua CHEYO kuwa mbunge wa kuajiriwa na si wa kuchaguliwa, kwa Mzee mamose CCM hawatii timu wanajua aibu wanazovuna kila mwaka wa uchaguzi na sasa usukuma yote imegeuka hivyo kwa kulalia kwa Dr.slaha kama anavyojulikana usukumani.

Kwa wasiowajua wasukuma wao wako tayari kumfanyia ukarimu hata aduai yao, watacheka na wewe sana, lakini ukifika wakati wa kuamua nini kifanyike watakuambia msimamo wao kuwa ni tofauti na wako, lakini ukarimu utapata.Hiki ndicho kinachoipata CCM kwa sasa usukumani, Nape anapokelewa kwa shangwa kama mgeni lakini ukifika wakati wa kupiga kura watamuonyesha wako upande gani!!!!!! Hawa watu wanachana live hawaumi maneno.Aliyofanya mashishanga alikuwa anawafariji wana-ccm lakini mzee yule si wa ccm tena, ukifanikiwa kuona anachokifanya kwenye sanduku la kura ndiyo utaamini maneno yangu.Yaya lulu nalemaga!!!!!!
kwa hiyo mkuu unamaanisha mr. zero aka sumaye ambaye alikuwa chaguo lake ndo bora umuonaye? I'm sure jamaa kama angepita could be even more than worse.
 
[alimtamkia Sumaye alipokwenda Morogoro kwamba wewe ndie mgombea pekee tunaokutambua wengine tunawashangaa hatujui wanafanya nini, kwa hiyo tegemea kura zetu. Akijamwingine hapa tutamfukuza. [/QUOTE]

duh! Kweli huyu kibabu nadhani bado kauli hii kama kweli alisema, anatumia masaburi! Kwa hiyo anataka na Sabodo afukuzwe kama alivyotaka kuwafukuza JK & Co waliokuwa wapinzani wa sumaye?
 
Back
Top Bottom