Mashine za tofali thread!

Mashine za tofali thread!

Biashara kichaa hii.....hizi kweli wafanye Wastafu. Yaani Mzigo wa milioni 10 faida laki mbili? Kwa hiyo nilioni moja faida ni elfu 20?

Nguvu kazi unailipaje? Kufyatua tofari elfu 8 is not a joke.
Faida inapatikana Mkuu, Kwa Kila tofali 1, inazalisha faida ya shilingi 250 hadi 350

Ambapo ukiuza tofali 1,000 unazalisha Faida ya shilingi 250,000 hadi 350,000

Japo ili upate faida kubwa inategemea na Mzunguko wako mauzo
 
Faida inapatikana Mkuu, Kwa Kila tofali 1, inazalisha faida ya shilingi 250 hadi 350

Ambapo ukiuza tofali 1,000 unazalisha Faida ya shilingi 250,000 hadi 350,000

Japo ili upate faida kubwa inategemea na Mzunguko wako mauzo
Hapo sawa
 
Faida inapatikana Mkuu, Kwa Kila tofali 1, inazalisha faida ya shilingi 250 hadi 350

Ambapo ukiuza tofali 1,000 unazalisha Faida ya shilingi 250,000 hadi 350,000

Japo ili upate faida kubwa inategemea na Mzunguko wako mauzo
Huu ni ukweli
 
IMG_20250623_122205_961.jpg
IMG_20250623_122200_626.jpg
IMG_20250623_122200_626.jpg
 
Hapo sawa
Ila kama ulivyosema awali, ukipata sehemu yenye mzunguko mkubwa wa biashara ndiyo unaweza kuona faida ya hii biashara

Mathalani ukiona Kwa wiki umeuza tofali 10,000 plus ndiyo unatengeneza milioni 2 hadi 3 kama faida
 
Huu ni ukweli
Ndiyo maana wachache wenye kujua ushindani wa hii biashara hutoa ofa ya shilingi 30 ama 50 Kwa madereva/ mafundi wanaoleta mteja/wateja kwao

Lengo likiwa kuongeza mzunguko wa biashara

Unapata faida kidogo lakini unauza mzigo Mkubwa
 
Wale mnaopanga kununua bajaj mgawe mikataba kwa vijana chungulieni na hii fursa huku
 
Wale mnaopanga kununua bajaj mgawe mikataba kwa vijana chungulieni na hii fursa huku
 
Wale mnaopanga kununua bajaj mgawe mikataba kwa vijana chungulieni na hii fursa huku
 
Wale mnaopanga kununua bajaj mgawe mikataba kwa vijana chungulieni na hii fursa huku
 
Wale mnaopanga kununua bajaj mgawe mikataba kwa vijana chungulieni na hii fursa huku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom