Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,836
- 57,466
Faida inapatikana Mkuu, Kwa Kila tofali 1, inazalisha faida ya shilingi 250 hadi 350Biashara kichaa hii.....hizi kweli wafanye Wastafu. Yaani Mzigo wa milioni 10 faida laki mbili? Kwa hiyo nilioni moja faida ni elfu 20?
Nguvu kazi unailipaje? Kufyatua tofari elfu 8 is not a joke.
Ambapo ukiuza tofali 1,000 unazalisha Faida ya shilingi 250,000 hadi 350,000
Japo ili upate faida kubwa inategemea na Mzunguko wako mauzo