Mashine za tofali thread!

Mashine za tofali thread!

Hii ndiyo miradi yetu wastaafu

Unauza tofali zako elfu 1, unapata hela ya kula sio Chini ya laki 2

Hadi pension itoke, unakuwa haujafa na njaa
Kimbembe ni pesa za uendeshaji maana unahitaji mifuko mingi sana ya saruji na mchanga ni ghali…, vilevile zipatikane pesa za kuwalipa vijana wanaosimamia zoezi zima la uzalishaji, walinzi na chakula kila siku bila kusahau Umeme.
 
Bambam
DD2AA32D-CD36-47BC-BB22-2FD090E8E08D.jpeg
 
Kimbembe ni pesa za uendeshaji maana unahitaji mifuko mingi sana ya saruji na mchanga ni ghali…, vilevile zipatikane pesa za kuwalipa vijana wanaosimamia zoezi zima la uzalishaji, walinzi na chakula kila siku bila kusahau Umeme.
Inategemeana unataka kuaza kwa ukubwa gani na uko wapi.
 
Kimbembe ni pesa za uendeshaji maana unahitaji mifuko mingi sana ya saruji na mchanga ni ghali…, vilevile zipatikane pesa za kuwalipa vijana wanaosimamia zoezi zima la uzalishaji, walinzi na chakula kila siku bila kusahau Umeme.
Ni kweli Mkuu, ila muhimu kujipanga

Huu ni uwekezaji ujue
 
Kumbuka kuweka bei kwenye kila picha wengine ni wazee kusahau kupo
 
Mtu akisoma hii comment anaweza asitamani kufanya hii biashara kabisa😂😂
Ila kwa ninaowajua wanaofanya shughuli za/ya namna hiyo tayari wako vizuri kiuchumi (wana fedha na. Vyanzo vinginevyo vya mapato) ukikurupukia unaumia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom