mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Ulishindwa kutafuta ujanani?acha mzahaKuna mtu aliwahi kuniambia kuhusu hili.
Nitafatilia Mkuu, huenda nikaanza kushika milioni yangu ya kwanza katika Uzee huu 😜
Ulishindwa kutafuta ujanani?acha mzahaKuna mtu aliwahi kuniambia kuhusu hili.
Nitafatilia Mkuu, huenda nikaanza kushika milioni yangu ya kwanza katika Uzee huu 😜
😂😂😂😂 dahUlishindwa kutafuta ujanani?acha mzaha
Unajua sisi tuliostaafu zamani utumishi, wengi tuliishia kustaafu na mshahara wa 36,800Ulishindwa kutafuta ujanani?acha mzaha
Unajua sisi tuliostaafu zamani utumishi, wengi tuliishia kustaafu na mshahara wa 36,800
Hizo milioni tumekuja kuzisikia wa Wajukuu zetu tu 😜
Ulikuwa mshahara wangu wa Mwezi, nilistaafu utumishi Mwaka 93 MkuuHuo mshahara wa siku au mwezi?
Hapo Nina miaka 3.🏃🏃Ulikuwa mshahara wangu wa Mwezi, nilistaafu utumishi Mwaka 93 Mkuu
Mungu ni mwema bado tunaendelea kutumia pumzi yake 🙏🙏Hapo Nina miaka 3.🏃🏃