Mashine za tofali thread!

Mashine za tofali thread!

Ila kwa ninaowajua wanaofanya shughuli za/ya namna hiyo tayari wako vizuri kiuchumi (wana fedha na. Vyanzo vinginevyo vya mapato) ukikurupukia unaumia
Mkuu as long as demand ya tofali ipo ,changamoto zote zinakua hazina maana.
Dar hapa watu wanahitaji tofali sana/wanajenga sana
 
Complete ni 2.6M tu wakuu
60017525-B225-4DC0-AC55-46A9505CF8D1.jpeg
60017525-B225-4DC0-AC55-46A9505CF8D1.jpeg
 
Kuna sehemu nilikuwa nina ka-project ka Ujenzi, nilinunua zaidi ya tofali 8,350 Kwa bei ya shilingi 1,200 Kwa tofali

Kwa idadi hiyo ya tofali, hukosi shilingi 2,000,000 Faida
Biashara kichaa hii.....hizi kweli wafanye Wastafu. Yaani Mzigo wa milioni 10 faida laki mbili? Kwa hiyo nilioni moja faida ni elfu 20?

Nguvu kazi unailipaje? Kufyatua tofari elfu 8 is not a joke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom