kyatamato
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 387
- 269
Nisaidieni hapa kuhusu hizi machine za wachina za kudumbikiza token/coins .. mfano ukidumbukiza coin ya mia mbili unakuta inatoa Tsh. 30,000/- .. ila me nikiweka coin za Tsh. 2,000/- Naweza ambulia sh.. 600 au nikatoka kapa .. je hapo kuna setting ya machine au?? au nifanyeje na Mimi niweze kuikomba hii machine ya mchina??
nitashukuru kwa msaada..
nitashukuru kwa msaada..