KERO Mashine ya MRI Mloganzila Hospital ni MBOVU

KERO Mashine ya MRI Mloganzila Hospital ni MBOVU

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Habarini, naleta taarifa hii kwa masikitiko makubwa sana kwa mara nyingine tena kwa sababu jambo hili sio mara ya kwanza kuripotiwa

Mashine ya MRI (Magnetic resonance imaging) katika Hospitali ya Mloganzila ni mbovu takribani mwezi mmoja na nusu na hali ni mbaya, wagonjwa wengine inawapasa wapange foleni katika kupata huduma hii tena kwa kusubiri masaa mengi sana... Foleni hiyo sio hapo hapo hospitalini TU bali ni katika hospitali ya Taifa Muhimbili iliyopo Upanga

Ni aibu kwa Hospitali yenye hadhi ya TAIFA kama Mloganzila kukosa huduma hii muhimu, pamoja na jitihada za Mheshimiwa Rais kukuza sekta ya afya lakini kuna baadhi ya watendaji wanamuangusha. Kwa inavyoonekana kuna watendaji wazembe (Wakurugenzi na wakuu wa idara) hapo hospitalini wanasababisha Mashine hii kuharibika na kutofanyiwa matengenezo kwa wakati (Wakibisha ushahidi nitauweka hewani kwa sababu upo)

Wagonjwa wanahamishwa kutokea Muhimbili Mloganzila kwenda Muhimbili Upanga jambo ambalo ni usumbufu kwa wagonjwa wengine inawabidi wasile siku nzima kusubiria kipimo lakini mwisho wa siku hawafanyiwi, sasa kushindishana njaa siku nzima maana yake nini? Hii ni sawa kweli?

Vile vile wagonjwa wengine wanatoka mbali sana mwisho wa siku wanaamua kuondoka,kukesha hospitali na wengine kukata tamaa ya kupata huduma kwa sababu kunakuwa na mlundikano wa wagonjwa wanohitaji kipimo hicho kutoka Muhimbili Upanga na Muhimbili Mloganzila

Pia kwa kuwa Mloganzila wana mashine moja ya MRI napendekeza au kushauri waongezewe mashine nyingine ya MRI ili watoe huduma stahiki kwa wakati

Tunapaza sauti suala hili lifanyiwe kazi haraka na mashine ya MRI irudi kwenye hali yake ya kawaida.

ASANTE
 
Habarini, naleta taarifa hii kwa masikitiko makubwa sana kwa mara nyingine tena kwa sababu jambo hili sio mara ya kwanza kuripotiwa

Mashine ya MRI (Magnetic resonance imaging) katika Hospitali ya Mloganzila ni mbovu takribani mwezi mmoja na nusu na hali ni mbaya, wagonjwa wengine inawapasa wapange foleni katika kupata huduma hii tena kwa kusubiri masaa mengi sana... Foleni hiyo sio hapo hapo hospitalini TU bali ni katika hospitali ya Taifa Muhimbili iliyopo Upanga

Ni aibu kwa Hospitali yenye hadhi ya TAIFA kama Mloganzila kukosa huduma hii muhimu, pamoja na jitihada za Mheshimiwa Rais kukuza sekta ya afya lakini kuna baadhi ya watendaji wanamuangusha. Kwa inavyoonekana kuna watendaji wazembe (Wakurugenzi na wakuu wa idara) hapo hospitalini wanasababisha Mashine hii kuharibika na kutofanyiwa matengenezo kwa wakati (Wakibisha ushahidi nitauweka hewani kwa sababu upo)

Wagonjwa wanahamishwa kutokea Muhimbili Mloganzila kwenda Muhimbili Upanga jambo ambalo ni usumbufu kwa wagonjwa wengine inawabidi wasile siku nzima kusubiria kipimo lakini mwisho wa siku hawafanyiwi, sasa kushindishana njaa siku nzima maana yake nini? Hii ni sawa kweli?

Vile vile wagonjwa wengine wanatoka mbali sana mwisho wa siku wanaamua kuondoka,kukesha hospitali na wengine kukata tamaa ya kupata huduma kwa sababu kunakuwa na mlundikano wa wagonjwa wanohitaji kipimo hicho kutoka Muhimbili Upanga na Muhimbili Mloganzila

Pia kwa kuwa Mloganzila wana mashine moja ya MRI napendekeza au kushauri waongezewe mashine nyingine ya MRI ili watoe huduma stahiki kwa wakati

Tunapaza sauti suala hili lifanyiwe kazi haraka na mashine ya MRI irudi kwenye hali yake ya kawaida.

ASANTE
mama ameahidi, mama ametimiza, tunasonga mbele na mama 2025 (in Mwashambwa's voice)
 
Habarini, naleta taarifa hii kwa masikitiko makubwa sana kwa mara nyingine tena kwa sababu jambo hili sio mara ya kwanza kuripotiwa

Mashine ya MRI (Magnetic resonance imaging) katika Hospitali ya Mloganzila ni mbovu takribani mwezi mmoja na nusu na hali ni mbaya, wagonjwa wengine inawapasa wapange foleni katika kupata huduma hii tena kwa kusubiri masaa mengi sana... Foleni hiyo sio hapo hapo hospitalini TU bali ni katika hospitali ya Taifa Muhimbili iliyopo Upanga

Ni aibu kwa Hospitali yenye hadhi ya TAIFA kama Mloganzila kukosa huduma hii muhimu, pamoja na jitihada za Mheshimiwa Rais kukuza sekta ya afya lakini kuna baadhi ya watendaji wanamuangusha. Kwa inavyoonekana kuna watendaji wazembe (Wakurugenzi na wakuu wa idara) hapo hospitalini wanasababisha Mashine hii kuharibika na kutofanyiwa matengenezo kwa wakati (Wakibisha ushahidi nitauweka hewani kwa sababu upo)

Wagonjwa wanahamishwa kutokea Muhimbili Mloganzila kwenda Muhimbili Upanga jambo ambalo ni usumbufu kwa wagonjwa wengine inawabidi wasile siku nzima kusubiria kipimo lakini mwisho wa siku hawafanyiwi, sasa kushindishana njaa siku nzima maana yake nini? Hii ni sawa kweli?

Vile vile wagonjwa wengine wanatoka mbali sana mwisho wa siku wanaamua kuondoka,kukesha hospitali na wengine kukata tamaa ya kupata huduma kwa sababu kunakuwa na mlundikano wa wagonjwa wanohitaji kipimo hicho kutoka Muhimbili Upanga na Muhimbili Mloganzila

Pia kwa kuwa Mloganzila wana mashine moja ya MRI napendekeza au kushauri waongezewe mashine nyingine ya MRI ili watoe huduma stahiki kwa wakati

Tunapaza sauti suala hili lifanyiwe kazi haraka na mashine ya MRI irudi kwenye hali yake ya kawaida.

ASANTE

Viongozi wetu wapo kwa ajili ya maslahi yao binafsi ndiyo maana haya yanatokea na hakuna wa kusimamia.

Lakini yana mwisho, it's just a matter of time.
 
Kuna muda ya Upanga ilinasia kitanda(chuma) Janabi akaficha na kufanya siri

Ila cables zilinasa na zilijua hadi sababu ya msingi
 
Ukitoa muhimbili hospital private hakuna MRI na je gharama ya iki kipimo ni kiasi gani?
Ukianza kuhesabu kwa Tanzania nzima haziwezi kuzidi hospitali 5 wenye uwezo wa kumiliki vifaa vya aina hii.
Hapo tunaongelea hospitali zenye rank ya juu sana kama Agakhan,Rabininsia,TMJ na ukienda huko itakubidi uanze processs upya na gharama kubwa zitakutoka sasa itakuwa haina maana ya kuanzia Muhimbili kisha uende ukagharamike tena kwenye private.
 
NGOZI YA TAA CALL SISI HATUNA TUNACHOWEZA....NDO MANA WAZU HUNGU WANASEMA SIE NI CURSED.......
FU****n B**K PIPO
 
Habarini, naleta taarifa hii kwa masikitiko makubwa sana kwa mara nyingine tena kwa sababu jambo hili sio mara ya kwanza kuripotiwa

Mashine ya MRI (Magnetic resonance imaging) katika Hospitali ya Mloganzila ni mbovu takribani mwezi mmoja na nusu na hali ni mbaya, wagonjwa wengine inawapasa wapange foleni katika kupata huduma hii tena kwa kusubiri masaa mengi sana... Foleni hiyo sio hapo hapo hospitalini TU bali ni katika hospitali ya Taifa Muhimbili iliyopo Upanga

Ni aibu kwa Hospitali yenye hadhi ya TAIFA kama Mloganzila kukosa huduma hii muhimu, pamoja na jitihada za Mheshimiwa Rais kukuza sekta ya afya lakini kuna baadhi ya watendaji wanamuangusha. Kwa inavyoonekana kuna watendaji wazembe (Wakurugenzi na wakuu wa idara) hapo hospitalini wanasababisha Mashine hii kuharibika na kutofanyiwa matengenezo kwa wakati (Wakibisha ushahidi nitauweka hewani kwa sababu upo)

Wagonjwa wanahamishwa kutokea Muhimbili Mloganzila kwenda Muhimbili Upanga jambo ambalo ni usumbufu kwa wagonjwa wengine inawabidi wasile siku nzima kusubiria kipimo lakini mwisho wa siku hawafanyiwi, sasa kushindishana njaa siku nzima maana yake nini? Hii ni sawa kweli?

Vile vile wagonjwa wengine wanatoka mbali sana mwisho wa siku wanaamua kuondoka,kukesha hospitali na wengine kukata tamaa ya kupata huduma kwa sababu kunakuwa na mlundikano wa wagonjwa wanohitaji kipimo hicho kutoka Muhimbili Upanga na Muhimbili Mloganzila

Pia kwa kuwa Mloganzila wana mashine moja ya MRI napendekeza au kushauri waongezewe mashine nyingine ya MRI ili watoe huduma stahiki kwa wakati

Tunapaza sauti suala hili lifanyiwe kazi haraka na mashine ya MRI irudi kwenye hali yake ya kawaida.

ASANTE
Duh hiyo ni hatari. Inawezekana shida sio hata Kwa hao wakurugenzi na wakuu wa Idara.

October tunatiki.✔️
 
Habarini, naleta taarifa hii kwa masikitiko makubwa sana kwa mara nyingine tena kwa sababu jambo hili sio mara ya kwanza kuripotiwa

Mashine ya MRI (Magnetic resonance imaging) katika Hospitali ya Mloganzila ni mbovu takribani mwezi mmoja na nusu na hali ni mbaya, wagonjwa wengine inawapasa wapange foleni katika kupata huduma hii tena kwa kusubiri masaa mengi sana... Foleni hiyo sio hapo hapo hospitalini TU bali ni katika hospitali ya Taifa Muhimbili iliyopo Upanga

Ni aibu kwa Hospitali yenye hadhi ya TAIFA kama Mloganzila kukosa huduma hii muhimu, pamoja na jitihada za Mheshimiwa Rais kukuza sekta ya afya lakini kuna baadhi ya watendaji wanamuangusha. Kwa inavyoonekana kuna watendaji wazembe (Wakurugenzi na wakuu wa idara) hapo hospitalini wanasababisha Mashine hii kuharibika na kutofanyiwa matengenezo kwa wakati (Wakibisha ushahidi nitauweka hewani kwa sababu upo)

Wagonjwa wanahamishwa kutokea Muhimbili Mloganzila kwenda Muhimbili Upanga jambo ambalo ni usumbufu kwa wagonjwa wengine inawabidi wasile siku nzima kusubiria kipimo lakini mwisho wa siku hawafanyiwi, sasa kushindishana njaa siku nzima maana yake nini? Hii ni sawa kweli?

Vile vile wagonjwa wengine wanatoka mbali sana mwisho wa siku wanaamua kuondoka,kukesha hospitali na wengine kukata tamaa ya kupata huduma kwa sababu kunakuwa na mlundikano wa wagonjwa wanohitaji kipimo hicho kutoka Muhimbili Upanga na Muhimbili Mloganzila

Pia kwa kuwa Mloganzila wana mashine moja ya MRI napendekeza au kushauri waongezewe mashine nyingine ya MRI ili watoe huduma stahiki kwa wakati

Tunapaza sauti suala hili lifanyiwe kazi haraka na mashine ya MRI irudi kwenye hali yake ya kawaida.

ASANTE
Itengeneze
 
mama ameahidi, mama ametimiza, tunasonga mbele na mama 2025 (in Mwashambwa's voice)
Sifa huua
Ndio shida siku hizi mtu anareport shida
Alf mnajibu kwa kumsifia mtu
 
Duh hiyo ni hatari. Inawezekana shida sio hata Kwa hao wakurugenzi na wakuu wa Idara.

October tunatiki.✔️
D09F99A4-276C-44F9-819D-A5831376EF0E.jpeg
 
Back
Top Bottom