Habari wanajukwaa,
Mashine ya kokoboa na kusaga inauzwa kwa bei ya haraka ikiwa na vitu vifuatavyo;
-Kinu cha kukoboa roller 3. ( bodi za chuma ni zile nzito)
-Kinu cha kusaga Number 75.
-Mota 2 za kusaga na kukoboa Horse power 30 kila moja.
-Wiring system nzima yaani pamoja na socket zake zote, nyaya, main switches.
inauwezo wa kusaga tani 8 mpaka 10 kwa siku.
Bei yake ni Million 8 na mazungumzo yapo.
Tunaweza ingia pia makubaliano kwa mtu anayehitaji kuikodisha ili kufanya kazi.
ipo dar es salaam.
Ipo kwenye Godown kubwa kama utaamua kuendelea kufanyia biashara hapo kodi imelipwa mpaka mwezi wa 6.
Nipigie tuzungumze 0769630209.
Mashine ya kokoboa na kusaga inauzwa kwa bei ya haraka ikiwa na vitu vifuatavyo;
-Kinu cha kukoboa roller 3. ( bodi za chuma ni zile nzito)
-Kinu cha kusaga Number 75.
-Mota 2 za kusaga na kukoboa Horse power 30 kila moja.
-Wiring system nzima yaani pamoja na socket zake zote, nyaya, main switches.
inauwezo wa kusaga tani 8 mpaka 10 kwa siku.
Bei yake ni Million 8 na mazungumzo yapo.
Tunaweza ingia pia makubaliano kwa mtu anayehitaji kuikodisha ili kufanya kazi.
ipo dar es salaam.
Ipo kwenye Godown kubwa kama utaamua kuendelea kufanyia biashara hapo kodi imelipwa mpaka mwezi wa 6.
Nipigie tuzungumze 0769630209.