Cha Moro lazima kichwa kigonge na cha tabora lazima usikie njaa.
Arusha wamejitahidi unakuwa uko HIGH ila twende mbele turud nyuma kitu cha Malawi ni kwere.
Nashkuru sasa hivi nimeacha kula Mmea nimeelekea kwa Yesu
Kama wakishindanisha wakulma wa hayo makitu kwa hapa kwetu Malya wa Arusha atashinda maana yeye jani lake linadatisha mbayaaaa
Aiseee chariii angu Mafikizolo , kama vipi itabidi tumuombe mkuu Zinduna aweze kukiwasilsha kwenye shindano kwania anajua eneo na tarehe ya shindano au waonaje? au tukipulize wenyewe?
Tena cha kijaniiiiiMoro nini bwana; kipo cha RUKOKORA Arusha hicho........
Kitu kimekulia kwenye volcanic soil... Lazima ulale juu ya paa ukidhani uko kitandani
Cha Moro lazima kichwa kigonge na cha tabora lazima usikie njaa.
Arusha wamejitahidi unakuwa uko HIGH ila twende mbele turud nyuma kitu cha Malawi ni kwere.
Nashkuru sasa hivi nimeacha kula Mmea nimeelekea kwa Yesu
Bangi ni tiba, bangi ni starehe, bangi ni ibada na mwisho bangi SIO madawa ya kulevya. Mtoto koma!
Mtoto koma!...Najua pira limeingia kitaa....mnatafutana.
wangeruhusu tupeleke hii ya kwetu
Unadhani tungeteua sample za pande zipi zikatuwakilishe katika shindano hilo ukizingatia "terms & conditions" to be considered .
Moro nini bwana; kipo cha RUKOKORA Arusha hicho........
'Jani likulie milimani kwenye baridi na maeneo ya mawe mawe....au miamba....' pafu moja tu kama unaanza uvutaji, unafyatuka palepale nakuanza kutembea umeina ukiulizwa kwa nini unatembea umeinama unawajibu...nyie hamuoni hiyo mbingu ilivyo karibu nikitembea wima wima sitanigonga kichwa.!!
UVUTAJI WA BANGI NA UTUMIAJI WA AINA NYINGINE YA MADAWA YA KULEVYA NI HATARI KWA AFYA YAKO YA MWILI NA KIAKILI; PIA NI HATARI KWA NDUGU ZAKO JAMAA ZAKO, KIZAZI CHA SASA NA VIZAZI VIJAVYO.
KOMESHA KWA NGUVU ZOTE MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA
'Jani likulie milimani kwenye baridi na maeneo ya mawe mawe....au miamba....' pafu moja tu kama unaanza uvutaji, unafyatuka palepale nakuanza kutembea umeina ukiulizwa kwa nini unatembea umeinama unawajibu...nyie hamuoni hiyo mbingu ilivyo karibu nikitembea wima wima sitanigonga kichwa.!!
UVUTAJI WA BANGI NA UTUMIAJI WA AINA NYINGINE YA MADAWA YA KULEVYA NI HATARI KWA AFYA YAKO YA MWILI NA KIAKILI; PIA NI HATARI KWA NDUGU ZAKO JAMAA ZAKO, KIZAZI CHA SASA NA VIZAZI VIJAVYO.
KOMESHA KWA NGUVU ZOTE MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA
Nyambaf kabisa!