Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Kubembeleza sijui, hasa akiwa dume ndo siwezi kabisaaa... kama kunazengwe ntatumia rupia huwa haishindwi
Thank u kapistrano!!
Enjoy ur Morn!
Na anavyopenda rushwa Ruhazwe!!
Lazima aingie kingi tu.
Haya,
usikae mbali na PC au Simu yako, kapistrano.
Kura yangu kwa charminglady! @ Kipipi hayupo? Naona jeneneke wangu hamjamweka maana the way she is beautiful, hakuna mshindani!
asante mamito charminglady kwa kura yako na dada rabela ucogope kupiga kura ila namshauri hashimu Lundenga kuwepo na kura za maoni halafu yabaki majina manne ya final kura yangu nampigia cousin sisy charminlady na madameB ,i luv u a ma dia arabela
jamani mi simo!
Section A is madam B and Section B is charminglady.
asante kwa kura yako kapistrano kama nikitwaa taji la miss chit chat nitakupa 1/8 ya zawadi yangu. . .
pendekeza basi na kundi B
Badili Tabia