Tena natoa nusu saa tu, majina ya wake zangu BADILI TABIA na Yummy yatolewe kabla sijamshusha mtu mshipa. Yaani BT na kimimba chake cha miezi saba akajibaraguze na vibikira charminglady, CUTE na Catherine? Ova mai dedi bode. Hivi waandaaji hawajui kuwa Yummy wangu yuko matenite livu akinilelea mapacha wangu?Mzee aspirin naona umekasirika sana. Si unaona hata my wife wangu mamndenyi wamempiga rula? Naomba acha hasira mkuu. Me mwenyewe last night sikulala na leo nimeanza weekend asubuhi. Karibu tinywe mkuu asprin.
ahsante mama
Habhari yenu wakubwa.
Ifuatayo ni orodha ya wanaowania/walio pendekezwa kushindania lile taji la miss chitchat mwezi sept,yapo makundi 2(A na B) :- Orodha kundi A ni
Orodha kundi B ni-
unatakiwa kupiga kura kwa mtu mmoja kwa kila kundi,mshiriki anaruhusiwa kujipigia kura,unaruhusiwa kumpigia/kujipigia debe ya kuomba kura,mshindi wa kundi A atakunishwa na mshindi wa kundi B kwenye fainali ili kumpata miss,piga kula kwa mfumo ufuatao:- kundi A ni....... Kundi B ni.......NAWASILISHA
ha,ha,ha...hapana Asprin kosa hakuna hapa,watu waliangalia warembo wakapendekeza majina,aliyekwambia uoe wadada warembo wakati wewe ni mzee ni nan?Tena natoa nusu saa tu, majina ya wake zangu BADILI TABIA na Yummy yatolewe kabla sijamshusha mtu mshipa. Yaani BT na kimimba chake cha miezi saba akajibaraguze na vibikira
Tena natoa nusu saa tu, majina ya wake zangu BADILI TABIA na Yummy yatolewe kabla sijamshusha mtu mshipa. Yaani BT na kimimba chake cha miezi saba akajibaraguze na vibikira charminglady, CUTE na Catherine? Ova mai dedi bode. Hivi waandaaji hawajui kuwa Yummy wangu yuko matenite livu akinilelea mapacha wangu?
Namtaka Ruhazwe JR aje hapa mara moja aniambie inakuwaje Ma- Mrs wanashiriki mashindano ya matineja?
Huu uzandiki na fitna tupu! Yaani baada ya mai waifu cacico kuwagaragaza last time waandaaji wamewaweka wake zangu wengine Yummy na BADILI TABIA kwenye category moja. Huu ni mpango kamambe wa kutaka kuvunja ndoa yangu. Kwamba nikimchagua mmoja wapo mwingine akasirike. Popote ulipo Kongosho na cacico, tafadhali jiunge nami kulipinga hili shindano.
Wake zangu BADILI TABIA na Yummy msikubali kuingia kwenye huu mtego. Tangazeni kujitoa tuwaumbue kina Lundenga wa kizushi.
Baada ya kusema hayo napenda kutangaza kuwa kura yangu nawapigia Yummy na BADILI TABIA. Potelea kura iharibike kuliko ndoa ivunjike.
Nawahi Kaunta ya juu kuungana na hommies Kaizer, KARIA , Mentor, Mr Rocky na Erickb52 kuupiga ulabu mpaka kieleweke. Dada zangu sweetlady, Preta na Blaki Womani naomba mjiunge nami kwenye haya makitu.
Ewaaa, ila sijaona sehemu uliyomwambia Lundenga wa JF Mheshimiwa Ruhazwe JR aondoe jina lako. Afu kaniitie na Yummy aje hapa nipate kauli yake kabla sijamrudishia mtu mkono sweta wake achwe na mkewe.Hubby bora unisaidie, yaani mie mke wa ujana wako, nipite jukwaani na kanjiri na bikini kugombea umiss.....
Kushoto niwe nimeshika udogo wa pemba kulia ndimu na kitumbo changu mbele?????
Walaaaahhiiiiiii napigana.....
Habhari yenu wakubwa.
Ifuatayo ni orodha ya wanaowania/walio pendekezwa kushindania lile taji la miss chitchat mwezi sept,yapo makundi 2(A na B) :- Orodha kundi A ni
Orodha kundi B ni-
unatakiwa kupiga kura kwa mtu mmoja kwa kila kundi,mshiriki anaruhusiwa kujipigia kura,unaruhusiwa kumpigia/kujipigia debe ya kuomba kura,mshindi wa kundi A atakunishwa na mshindi wa kundi B kwenye fainali ili kumpata miss,piga kula kwa mfumo ufuatao:- kundi A ni....... Kundi B ni.......NAWASILISHA
Madame B jamani hata weyeee unapigia kura mke wa mtu???!!! Naomba uongee na Ruhazwe JR anitoe mie na mke mwenzangu hatutaki haka kamchezo. Kwanza ametuweka kwa vigezo vipi??!!!!Kundi A bidada Arabela,
Kundi B shostito Yummy.