Mashindano ya kuchimba makaburi yanavyotikisa Ulaya

Mashindano ya kuchimba makaburi yanavyotikisa Ulaya

Ile kauli ya mshan kuwa kaburi halilali mdomowazi hapa haifanyi kazi Mshana Jr ? Mambo yanabadilika sana zamani watu walikuwa hawakatizi hata makaburini, ila wakati niko primary tulikuwa tunacheza mpira eneo liko makaburini na tunakaa juu ya makaburi yaliyojengewa bila matatizo kabisa na wengine hadi usingizi wanauchapa juu ya kaburi.
Mara nyingi nahisi ni uoga tu wa Mwafrika kuogopa what will never happen.
Ukitaka jua hilo yani na waganga na uchawi wote wa Mnigeria bado mwingereza akamtawala hapo sielewi aisee.
Enzi hizo nikipita makaburini majira ya saa 2 usiku nageuka kuwa Usain Bolt ghafla
 
Naskia madada poa ndiyo zao, sipati picha mnasikia Marehemu anasema we jamaa mzembe dakika 0 ushamaliza, hizo mbio watakazotoka nazo break ya kwanza Mpaka wa namanga
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ladislav mwenye umri wa miaka 43 na kaka yake Csaba Skladan (41), wamewahi kuibuka kidedea katika mashindano ya Slovakia mwaka 2016, wakitangazwa kuwa ndiyo wachimbaji bora wa makaburi barani Ulaya baada ya kutumia sekunde 54 pekee kuchimba lenye vigezo sahihi vilivyotakiwa na majaji.
________________

Kaburi gani linachimbwa kwa sekunde 54 tu na kukamilika? Ni kaburi tunalolijua au shimo?
Wamehakiki, ni dakika 54.
 
Back
Top Bottom