Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,643
- 21,484
AiseePassion Tu mkuu maana inshu imekaa kiburudani zaidi sio kibiashara... Kama ni mpenzi wa draft utanielewa
AiseePassion Tu mkuu maana inshu imekaa kiburudani zaidi sio kibiashara... Kama ni mpenzi wa draft utanielewa
Watu wanadai Sisco alihujumiwa
Kuna time aliweka kete ngumu Ronaldo akalala kupitiliza muda uliopangwa.
Kamisaa alitakiwa kusimamisha pambano na kumpa ushindi Sisco lakini haikuwa hivyo.
Kama ni kweli basi kwa namna moja Sisco hajatendewa haki japo mi namkubali Ronaldo
View attachment 2735060
Watu wanadai Sisco alihujumiwa
Kuna time aliweka kete ngumu Ronaldo akalala kupitiliza muda uliopangwa.
Kamisaa alitakiwa kusimamisha pambano na kumpa ushindi Sisco lakini haikuwa hivyo.
Kama ni kweli basi kwa namna moja Sisco hajatendewa haki japo mi namkubali Ronaldo
View attachment 2735060
Haya mashindano yameandaliwa kwa weledi sana.Dogo Shuku yupo Manyanya pale ukifika mida ya night utamuona anacheza pool
Ila hapa kuna mafundi wanne waliofika nusu
Kutoka mkono wa kushoto huyo aliyevaa koti la njano ni Sisco, anafuatia Nduli anakuja Noel wa mwisho ni Ronaldo
Ronaldo anatarajiwa kukutana na Noel kesho kwenye fainali baada ya kumtoa Sisco
View attachment 2735096
Kweli kabisa kahujumiwa huyo Sisco.Watu wanadai Sisco alihujumiwa
Kuna time aliweka kete ngumu Ronaldo akalala kupitiliza muda uliopangwa.
Kamisaa alitakiwa kusimamisha pambano na kumpa ushindi Sisco lakini haikuwa hivyo.
Kama ni kweli basi kwa namna moja Sisco hajatendewa haki japo mi namkubali Ronaldo
View attachment 2735060
Ukichukua video hata ya gemu 1 tu inatosha, si lazima uchukue gemu zote 3 Kaka, na haswa ya ushindi itapendeza sana.Ku record mechi nzima mpaka iishe ni kazi kutoka na watu kuwa wengi pia draft linachukua mda mrefu mfano Noel na Nduli wametumia masaa 3 Toka saa 10 mpaka saa 1 ndo mechi imeisha
Nimetoka kupokea simu muda si mrefuRonaldo kafa hukuu Noel bigwa
Ofisi yako iko wapi nikuletee viatu unishonee?Hongereni mnapataje washiriki kitaifa mbona mm ni fundi sana sipo
Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
Hapa kijiweni mkuuOfisi yako iko wapi nikuletee viatu unishonee?
Sisco na Kiwembe wamefurahi Sanaa mpaka wamevua mashatiNimetoka kupokea simu muda si mrefu
Naskia Sisco amefurahi sana
Sisqo kafurahi sababu jana kidogo wapigane na Ronaldo. Ronaldo naye amekuwa msaniisanii sana.Nimetoka kupokea simu muda si mrefu
Naskia Sisco amefurahi sana
Yeah namuona hapa hadi shati kavuaSisqo kafurahi sababu jana kidogo wapigane na Ronaldo. Ronaldo naye amekuwa msaniisanii sana.