Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,485
- 5,817
Pia soma hii, ni nzuri sanaMkuu bujibuji tafadhali naziomba hizi mambo naomba namna ya kuzipakua kwa maana nikiwa offline niwe naweza kuzisoma
Pia soma hii, ni nzuri sanaMkuu bujibuji tafadhali naziomba hizi mambo naomba namna ya kuzipakua kwa maana nikiwa offline niwe naweza kuzisoma
Mmmmmm! Tukapata na msamiati wa mchawi!Gagula ni mtu mbaya
Gagula ni mtu mbaya
Tumia Google translatorJe naweza kusoma habari za Bwana Allan Quaterman kwa kiswahili? Asante Sana kunikumbusha miaka 40 iliyopita niliposoma vitabu hivi
Haiwezi kuwa tamu Kama ya kiswahili moja kwa mojaTumia Google translator
Haya bwanaHaiwezi kuwa tamu Kama ya kiswahili moja kwa moja
Huu ni mwezi moya, njooVipi utakipakia kwa muda mfupi ama ni-subscribe kisha nirudi baada ya mwezi/miezi?
Unforgetable
Nakitafuta sana, last time kukisoma nilkuwa primary, nice book yaani.Hiki kitabu ninacho asee natumaini mwanangu atakuja kukisoma.
Nasoma kwa kutumia miwani, Machu yanawasha!Unasoma hadithi hadi unahisi ganzi
PoleNasoma kwa kutumia miwani, Machu yanawasha!
Enzi zetu ukiwa mchawi unaitwa kwa utani kigagula.Mmmmmm! Tukapata na msamiati wa mchawi!
Ndiyo maana zamani tukipenda sana kusoma vitabu vya hadithi maana zilikuwa zinafurahisha na kukufanya uwaze sana.Nakitafuta sana, last time kukisoma nilkuwa primary, nice book yaani.
Ukivitafuta kwa national library nadhani unaweza viwahi sababu kule wana vitabu vya kitambo sana piaNdiyo maana zamani tukipenda sana kusoma vitabu vya hadithi maana zilikuwa zinafurahisha na kukufanya uwaze sana.
Vitabu mfano vya: Invisible man, Dr Jekyll and Mr Hyde, Round the World in eighty days, Treasure island....... sijui vimeishia wapi jamani.