Mashepu na vishepu

Payer

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2014
Posts
824
Reaction score
189
Utashangaa kuona Dar es salama kila binti ana kishepu siku izi,unajiuliza wanafanyaje wengine wameumbwa hivyo manshallah,Ila wengine huwa creative zaidi.

Tazama picha na toa maoni yako,karibuni sana.
 

Attachments

  • 1422635128820.jpg
    53.8 KB · Views: 8,725
Hahahaaaa.. . kwa mauzo kwa maeneo adhimu
 
tutaanza kuwakagua kwenye vidate sasa.... mambo ya kustukia wakati ushagharamia sio mpango!!!
 
Hahahahaaa ila mbunifu sana, hivi kuna watu wanapenda mashepu kiasi hicho?
Aisee!!!
 
Hii fursa ilimshinda mchina na madawa yake maana yalikuwa na madhara kibao. Ila watu hawashindwi, tayari washakuja na mbinu mbadala
 
Mbona kujipa shida tu huko, hakuna jambo zuri kama mtu kukupenda jinsi ulivyo. wadada mungu hakunyimi vyote, kama mbio za hipsi zilikushinda basi za face ulifanikiwa, hakuna anayenyimwa vyote. ishi kwakujiamini khaaa!!!
 
Mbona kujipa shida tu huko, hakuna jambo zuri kama mtu kukupenda jinsi ulivyo. wadada mungu hakunyimi vyote, kama mbio za hipsi zilikushinda basi za face ulifanikiwa, hakuna anayenyimwa vyote. ishi kwakujiamini khaaa!!!

I love this for sure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…