MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Wapendwa,
Najiuliza hivi bado kuna wanaume wanaodanganywa kwa kubambikiziwa mashemeji/madada wa bandia kama anavyolalamika Mbaraka Mwinshehe hapa?
Je kuna limitation yoyote ya shemeji/ madada ambayo unafikiri mwenzi wako akikuintroduce au kuwa karibu nao unakuwa na wasiwasi?
(Kina dada kuna wale huyu ni mfanyakazi mwenzangu, dadayangu tunatoka kijiji kimoja n.k kuna mipaka?
Otherwise ..........enjoy the music!
Last edited by a moderator: