Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,386
Naweka summary/reviews za mada nyingi nilizoandika na kushauriana na watu mbali mbali ndani na nje ya JF.. Sina ruhusa yao hivyo siwezi kumtaja yoyote
Nitakaribisha na maswali pia
1. Tiba ya kiroho yenye nguvu iliyobaki ni tiba ya chumvi ya mawe maana mpaka sasa haijanajisiwa wala kuchakachuliwa
2. Wakatae madalali wa ulozi na ushirikina.. Wale wanaokusifia kwamba mganga fulani ni kiboko.. Wakati huyo anayekusifia umemzidi vingi
3. Epuka kafara ya aina yoyote hasa ya kumwaga damu.. Unatengeza madhabahu itakayobeba roho zitakazokutesa sana!
4. Epuka waganga wa mazingaombwe.. Kumbuka mganga ni mchawi pia.. Anaweza kukufanyia michezo ili aendelee kukutumia
5.Epuka kuchanganya falme mbili.. Ufalme wa nuru na ufalme wa giza! Badala ya kusaidika utazidi kuharibikiwa maana falme hizo zitatumia mwili wako kama uwanja wa mapambano
6. Usikubali kupeleka mnyama wa mnyama yeyote.. Mganga atafaidi nyama wewe utafungamanishwa na roho ya huyo mnyama
7. Usidanganywe na visomo. Utapoteza muda na mali.. Kisomo cha kweli kina maandalizi magumu na kila mshiriki anapaswa kuwa msafi mno kiroho asiye na mawaa
8. Epuka kupakwa madawa kuchanjwa chale na kuvukizwa mafusho ya giza. Unaunajisi mwili wako na kuufanya makazi ya maroho
9. Usijaribu kufanya zoezi lolote la kuitisha pesa za majini kwa maelekezo ya mganga.. Utageuzwa mateka kwenye ulimwengu wa roho
10. Usijaribu kamwe kufanya ibada, tambiko ama uganga unahusisha ngono! Ulinzi, uasherati na ulawiti ili ufanikiwe! Hupati tiba hapo bali unakaribisha mapepo machafu ya kila aina
Mwili wako ni helaku takatifu uliosimwikwa kwenye ardhi uliyopewa na Muumba wako! Kitendo chochote cha kutaka kutumia nguvu kutoka nje yake ni sawa na kukaribisha uvamizi uliojaa najisi na kuharibu utakatifu wa hekalu
Unapopata shida yoyote ya kiroho tumia utakaso kinga na uamsho wa chumvi ya mawe
Achana kabisa na clip za mitandaoni zinazofundisha mambo ya giza! Badala ya kukusaidia zitakumaliza
Naweka kituo hapa... Karibuni sana!
Nitakaribisha na maswali pia
1. Tiba ya kiroho yenye nguvu iliyobaki ni tiba ya chumvi ya mawe maana mpaka sasa haijanajisiwa wala kuchakachuliwa
2. Wakatae madalali wa ulozi na ushirikina.. Wale wanaokusifia kwamba mganga fulani ni kiboko.. Wakati huyo anayekusifia umemzidi vingi
3. Epuka kafara ya aina yoyote hasa ya kumwaga damu.. Unatengeza madhabahu itakayobeba roho zitakazokutesa sana!
4. Epuka waganga wa mazingaombwe.. Kumbuka mganga ni mchawi pia.. Anaweza kukufanyia michezo ili aendelee kukutumia
5.Epuka kuchanganya falme mbili.. Ufalme wa nuru na ufalme wa giza! Badala ya kusaidika utazidi kuharibikiwa maana falme hizo zitatumia mwili wako kama uwanja wa mapambano
6. Usikubali kupeleka mnyama wa mnyama yeyote.. Mganga atafaidi nyama wewe utafungamanishwa na roho ya huyo mnyama
7. Usidanganywe na visomo. Utapoteza muda na mali.. Kisomo cha kweli kina maandalizi magumu na kila mshiriki anapaswa kuwa msafi mno kiroho asiye na mawaa
8. Epuka kupakwa madawa kuchanjwa chale na kuvukizwa mafusho ya giza. Unaunajisi mwili wako na kuufanya makazi ya maroho
9. Usijaribu kufanya zoezi lolote la kuitisha pesa za majini kwa maelekezo ya mganga.. Utageuzwa mateka kwenye ulimwengu wa roho
10. Usijaribu kamwe kufanya ibada, tambiko ama uganga unahusisha ngono! Ulinzi, uasherati na ulawiti ili ufanikiwe! Hupati tiba hapo bali unakaribisha mapepo machafu ya kila aina
Mwili wako ni helaku takatifu uliosimwikwa kwenye ardhi uliyopewa na Muumba wako! Kitendo chochote cha kutaka kutumia nguvu kutoka nje yake ni sawa na kukaribisha uvamizi uliojaa najisi na kuharibu utakatifu wa hekalu
Unapopata shida yoyote ya kiroho tumia utakaso kinga na uamsho wa chumvi ya mawe
Achana kabisa na clip za mitandaoni zinazofundisha mambo ya giza! Badala ya kukusaidia zitakumaliza
Naweka kituo hapa... Karibuni sana!