Secret Star
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,857
- 2,088
acha wizi weweeee..hamna
boya humu... wenzio wanauza hizo tshirt elfu 18-20.. na bado watu
wanakimbia..
Mkuu hizo za 18-20 zinapatikana wapi? Nazihitaji
wizi mtupu,
hizo tshirt ni sh 7000 bei ya jumla,
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna huyu jamaa aliweka
bandiko lake facebook.. leo umenipa kazi ya kulichimbua..maana
nsingekujibu ningeonakana muongo..FUNGUA ATTACHMENT HIYO
safi saana Babu Kidude,Vanmed,Fisher nk,jamaa anafikiri fesha zinaokotwa tuuu
Watu huwa wanadhani hili ni soko la watalii walio out of touch na realities za nchi hii, angetoa bei ya kawaida saa hizi angekuwa anahesabu faida na mimi ningekuwa mteja wa kwanza, sasa yeye kajiona mjanja kuliko mtu yeyote matokeo yake thread yake haina maana.
Stunah hata kama ni soko huria huyu kapitiliza ila siungwi mkono atukanwe ...aelimishwe kuwa kuna bidhaa kama zake sokoni ,hivo ajipangekama hamna pesa mnyamaze msitukane biashara za watu hii ni biashara huria.Nyie ndio mtaweza kununua ticket ya kumuona Kansiime laki 7 kwa meza!!
mtoa mada/mleta tangazo usikate tamaa wenye pesa watakupm.
kama hamna pesa mnyamaze msitukane biashara za watu hii ni biashara huria.Nyie ndio mtaweza kununua ticket ya kumuona Kansiime laki 7 kwa meza!!
mtoa mada/mleta tangazo usikate tamaa wenye pesa watakupm.
kama hamna pesa
mnyamaze msitukane biashara za watu hii ni biashara huria.Nyie ndio
mtaweza kununua ticket ya kumuona Kansiime laki 7 kwa meza!!
mtoa mada/mleta tangazo usikate tamaa wenye pesa watakupm.