vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,704
- 1,410
Kuhoji uhalali wa bei ya kitu si kutokuwa na pesa, bei ya kitu inapaswa kulingana na vitu vya aina yake katika soko, ni ujinga kununua kilo ya unga wa mahindi kwa 5000 kwenye duka la vyakula wakati inaeleweka kuwa unga huo unauzwa kote kwa bei isiyozidi sh. 1500.
Kingine ni kuwa bei ya kitu inapaswa kulingana na ubora wake na si kuuziwa kitu cha ubora wa kawaida au wa chini kwa bei kubwa kisa eti una hela ya kulipa. Hii inaexclude exceptional cases kama pale bidhaa inapokuwa inauzwa katika eneo ambalo muuzaji analipia pango kubwa kupita kiasi kitu kinachomlazimu kufidia gharama kwa kupandisha bei ya bidhaa zake kidogo tofauti na zile zinazouzwa maeneo mengine.
Kingine ni kuwa 700,000 inaweza kuwa hela nyingi sana kwako lakini ni hela ya kawaida sana ila kuitoa kwenda kumwangalia Kansiime ni maamuzi binafsi kwani si wote wanaovutiwa na shoo za mtu kama yeye ambae kwako anaweza kuwa mtu wa ajabu sana. Karibu
U have nailed it ....n'dai like mkuu Swordfisher
Last edited by a moderator: