Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 9,000
- 7,618
Wote tunajua Al Jazeera ndiyo mtetezi wa magaidi wa kiislamu duniani ndiye kasema.Wapi Iran kaomba ceasefire pole sana aliye changanyikiwa ni USA wala si Iran.
Israel anapokea kipondo cha mbwa koko we endelea na story za kikanisa
Al Jazeera ndiyo mdomo wa magaidi wakitaka kuzungumza wanawatafuta Aljazeera kutoa dukuduku lao!!!!
Sasa hivi tumeanza kusikia milio na bado hakuna ceasefire mmezoea safari hii mpaka mtume ndoano Mbwa nyie!!!