cement
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 581
- 218
Huyu jamaa ni bigwa wa kutumia kiswahili vizuri
Anaposema
Mjomba ww wapake wanja harafu wao wakupake pilipili na kwenye kombolela iwe zamu yako kuzinga ccm mnayaelewa haya maneno???
Au mtu mzima kutapika nyogo harafu akailamba watu wanamwangalia tu?
Maneno ya kitoto mtoto kumwambia mtoto mwenzie tunasema wanacheza!
Na maneno kitoto mtoto kumwambia mtu mzima tunasema anakua mfano baba ile ndege yangu baba hata kama hana baiskeli atasema ikitua nitakuletea!
Lakini maneno ya kitoto mtu mzima kumwambia mtu mzima mwenzie kuna uwalakini?anasema yeye safari imemshinda!tumedanganywa sana na serikali hii!
Maneno ya huyu jamaa ni mazito sana!
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Anaposema
Mjomba ww wapake wanja harafu wao wakupake pilipili na kwenye kombolela iwe zamu yako kuzinga ccm mnayaelewa haya maneno???
Au mtu mzima kutapika nyogo harafu akailamba watu wanamwangalia tu?
Maneno ya kitoto mtoto kumwambia mtoto mwenzie tunasema wanacheza!
Na maneno kitoto mtoto kumwambia mtu mzima tunasema anakua mfano baba ile ndege yangu baba hata kama hana baiskeli atasema ikitua nitakuletea!
Lakini maneno ya kitoto mtu mzima kumwambia mtu mzima mwenzie kuna uwalakini?anasema yeye safari imemshinda!tumedanganywa sana na serikali hii!
Maneno ya huyu jamaa ni mazito sana!
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums