OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,715
Pisi kali huwa inakupa uhakika wa kuja mpaka mida ya kukaribia. Halafu dakika za mwisho kabisa inazingua bila kutoa sababu au kutoa sababu za kijinga.
TFF walitupa uhakika wiki nzima mpaka leo asubuhi kuelelea mchana. Imekuja kuzingua dakika za majeruhi na haijatoa sababu kabisaaaaa.
Pisi kali huwa inazingua lakini kuhusu kurudisha nauli inakuwa kimya. Leo hii mechi imaahirishwa,ila TFF kwenye viingilia wako kimya
Waziri tunaomba utupisheeeeeee