🤣🤣🤣🤣🤣 Numbisa kwani Nani anayemchukia Zari?Raha sana Hatimae Zari anaanzishiwa nyuzi tamu kama hii JF. Woooah haters leo ndimu zinawahusu
🤣🤣🤣🤣🤣 Numbisa kwani Nani anayemchukia Zari?Raha sana Hatimae Zari anaanzishiwa nyuzi tamu kama hii JF. Woooah haters leo ndimu zinawahusu
🤣🤣🤣🤣🤣Kwani Robidinyo mzee wa The Spartacus mnyama mkali anasemaje.
🤣🤣🤣🤣🤣LEO UMEKUWA MSTAARABU SANA AU KWA VILE BIBI MWENZIO KAJA?
Amemdhalilisha au walidhalilishana?Wanawake wengine akili akunaga.diamondi alivyomdhalilisha na kumsema vibaya mara mkubwa kiumri mara nn leo anajikomba. Asubiri akiondoka.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Naona leo umemkaba Koo NumbisaNAJITAHIDI KUKUFANYA UONEKANE BIBI BORA MAANA WAZEE WENZIO WANAJIHESHIMU
Phoenix hata me nashangaa au neno kudhalilisha siku hizi linamaana tofauti.Kwani si kweli ana umri mkubwa kumzidi?Sasa hapo kamdhalilishaje?
Usiumie " What goes around comes around"Haters wamevamia uzi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Barbarosa wewe upo Kama mimiMwanamke wa 40 hana tatizo lolote kwanza ni wazuri kimaongezi kwa kuwa wana uzoefu hata financially wanakuwa wako vizuri hivyo inategemea unataka nini kwa huyo Mwanamke na pia uwezo wako kiuchumi, kama ni ni sex hakuna substitute ya young chick, lkn kila mtu na test yake binafsi kwa umri kama wa Mondi 31 na mkwanja na fame yote nisingelala na Mwanamke 40‘s labda kama angekuwa na michongo, lkn 40‘s keshazaa watoto 5 au zaidi, WTF? Mimi zangu mademu 20‘s tu forever, ...
Hajielewi huyu mwanamke bora amkomeshe tu. Subiri akiondokaAmemdhalilisha au walidhalilishana?
Kipindi Wana ugomvi kila mmoja alikuwa anatoa yake ya moyoni lakini Zari alienda mbali mpaka akawa anatukana akamwita mondi mbwa ikiwemo kwenda Hadi BBC Swahili kufanya interview sasa unavyosema Diamond kamdhalilisha Zari wakati tuliona wanadhalilishana hapo sijakuelewaHajielewi huyu mwanamke bora amkomeshe tu. Subiri akiondoka
Umati huu for Zari, come on now.Nini tatizo kwani?
Hivyo alivyozongwa na watu ama?
Kama ni hivyo, hilo ni jambo la ‘kawaida’ karibu duniani kote.