Na hata Vibaka wengi nchini ni Matopolo.Kijana ambaye yuko busy anapataje muda wa kuzurura wiki nzima .
Vijana 500 kwa wiki nzima hawako kazini ni hasara kwa taifa
Kijana ambaye yuko busy anapataje muda wa kuzurura wiki nzima.
Vijana 500 kwa wiki nzima hawako kazini ni hasara kwa taifa
Walikubaka?Vibaka
Pumbavu wewe huna hata mia hapo ulipo,jf kila mtu boss mamayo,unanuka umasikini tu hapoSio watu wote wenye pesa wana report kwa Bocy wewe pumbavu, kuna wengine tunapiga simu kuuliza nini kinaendelea J3 asubuhi huku tunaelekea Beach.
Hahahahaha, watu wameona Fursa wameitumia, hii safi sanaMpaka sasa simba bado hawaja waelewa yanga. Simba wanafikili yanga wanashinda misafara.kumbe yanga wanafanya biashara kubwa na yenye faida kubwa kwa matawi yao na wanachama.
Kitu chakwanza wajiulize hizi kosta zoote mmiliki ni nani?
Kosta moja inapakia watu 20.
20×150, 000 =Tsh 3, 000, 000/=
Kutoka dar hadi kigali umbali 1450km
Kosta moja inakula mafuta lita 1 kwa kilometa 7.
Hivyo 1450km÷7 =210 makadilio.
Maana yake kwenda na kurudi ni lita 420.
Hivyo 420 ×3350 bei ya mafuta. Ni sawa na shi 1, 500, 000 makadilio.
Hivyo mwenye kosta hii/hizi ni nani?
Kama kosta za wanachama wa matawi basi wamewafaidisha wenye matawi yao. Na kama za mtu anakodisha basi anafaida ya sh.1, 500, 000/=kila kosta moja.
Sasa kama zimeenda 40. Zidisha mala hiyo.
msemaji wa simba yeye analalamika na mabasi makubwa sijui vikosta. Shaulizenu.
Pumbavu wewe huna hata mia hapo ulipo,jf kila mtu boss mamayo,unanuka umasikini tu hapo
wivu unawasumbuaKijana ambaye yuko busy anapataje muda wa kuzurura wiki nzima.
Vijana 500 kwa wiki nzima hawako kazini ni hasara kwa taifa
Siyo kila kijana lazima awe busy kutwa nzima huku akifanyishwa kazi na Mhindi, na kulipwa elfu 5 kwa siku kama wewe!Kijana ambaye yuko busy anapataje muda wa kuzurura wiki nzima.
Vijana 500 kwa wiki nzima hawako kazini ni hasara kwa taifa