Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,110
- 26,997
Naamini huyu jamaa ana mashabiki wa kutosha katika rika zote, sijajua mafanikio yake kiuchumi ila katika muziki namuona ni moja ya wasanii waliofanikiwa sana katika tungo zao pamoja na muziki wao kiujumla...
Kifupi Q Chief nilianza kumsikia katika wimbo wa Mzimuni Family ulioitwa Mpiga Debe, baada ya hapo ikawa kama milango imefunguka kwa Q...hapo akaja na vibao kama Aseme, Si Ulinikataa na Zamani ambavyo vilitikisa kila kona ya nchi hii...
Q Chief aliendelea kutoa vibao vingi vikali kama My Boo, Uhali gani, Natawala, Cheers, Naogopa, weiper, Umaskini Wangu, Ninachokipata, Sexy, Zaidi Jana, Mariam, Naijutia Nafsi, Mwana Mnyonge, Nisengenyeni na nyingine nyingi...
Kwenye Collabo pia hakuwa nyuma, kaimba na mastar kibao mapka underground, Q chief kaweza kufanya kazi na Ay na Fa(Asubuhi), Wako wapi(Dataz), Msinitenge (Prof J), Sintobadilika (Mike T), Jay Moe (Kama unataka Demu),Vaa Tutoke ya Black Rhyno....
Hivi karibuni Q chilla amekuja Kibao matata kabisa cha Chuma Kisamvu achilia mbali Mau na Delilah zilizotoka kabla yake...
Hakika hiki ni kipaji kikubwa kabisa katika Bongo Fleva...
Ebu tujumuike hapa kumpa support, pia tukumbushane jinsi tulivyoguswa na vibao vyake...
Kwa kifupi mimi nimewahi guswa na nyimbo hizi..
*Aseme
*Mwana Mnyonge
*Umaskini Wangu na
*Ungeniumiza...
Je kwako nyimbo bora za Q chief ni zipi..zipi zilikugusa zaidi??
Kifupi Q Chief nilianza kumsikia katika wimbo wa Mzimuni Family ulioitwa Mpiga Debe, baada ya hapo ikawa kama milango imefunguka kwa Q...hapo akaja na vibao kama Aseme, Si Ulinikataa na Zamani ambavyo vilitikisa kila kona ya nchi hii...
Q Chief aliendelea kutoa vibao vingi vikali kama My Boo, Uhali gani, Natawala, Cheers, Naogopa, weiper, Umaskini Wangu, Ninachokipata, Sexy, Zaidi Jana, Mariam, Naijutia Nafsi, Mwana Mnyonge, Nisengenyeni na nyingine nyingi...
Kwenye Collabo pia hakuwa nyuma, kaimba na mastar kibao mapka underground, Q chief kaweza kufanya kazi na Ay na Fa(Asubuhi), Wako wapi(Dataz), Msinitenge (Prof J), Sintobadilika (Mike T), Jay Moe (Kama unataka Demu),Vaa Tutoke ya Black Rhyno....
Hivi karibuni Q chilla amekuja Kibao matata kabisa cha Chuma Kisamvu achilia mbali Mau na Delilah zilizotoka kabla yake...
Hakika hiki ni kipaji kikubwa kabisa katika Bongo Fleva...
Ebu tujumuike hapa kumpa support, pia tukumbushane jinsi tulivyoguswa na vibao vyake...
Kwa kifupi mimi nimewahi guswa na nyimbo hizi..
*Aseme
*Mwana Mnyonge
*Umaskini Wangu na
*Ungeniumiza...
Je kwako nyimbo bora za Q chief ni zipi..zipi zilikugusa zaidi??