babuu Jr ludovic
Member
- Dec 11, 2011
- 12
- 2
baada ya miaka mingi kupita bla ya kupata ubingwa sasa naona mashabiki wa kweli wa liverpool ndoto ze2 za kupata huo ubingwa unakaribia hiyo jumapili 2takapo cheza fainali ya carling cup na cardiff city pale wembley ijapokuwa kombe lenyewe la kuku hvo hvo angalau 2lchukue