babuu Jr ludovic
Member
- Dec 11, 2011
- 12
- 2
- Thread starter
- #61
hakuna tatizo na nikweli kabisa na wewe si ndio MKUU WETU WA CHUO cha wajinga na wehu.
hahahahahahahahaha...nimeipenda hyo kaka coz hata 2itaje cc wajnga
hakuna tatizo na nikweli kabisa na wewe si ndio MKUU WETU WA CHUO cha wajinga na wehu.
Kombe la kuku?,una maana gani,hakuna kombe dogo England bwana mzee.Watu wanalipa fedha nyingi rekebisha mkuu.
Mkuu, umen-let down kama bado hujaiona! Mbona ukiingia jukwaa la 'Sports' uzi wa Liverpool upo wazi kama nyuzi za timu nyingine?!poa mkuu nitaitafuta ila vp umeuchukuliaje ubingwa 2liochukua jana