Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,886
- 6,883
- Thread starter
- #21
MASHA ANA ufalme wa kumtosha, hahitaji JK... pia uelewe JK ana less than 50% influence kwenye serikali iliyo madarakani
wewe unaangalia juu, kazi zote zipo local government....
komaa-komaa ujue maisha,
inatia aibu sana mtu kama muhingo, a well seasoned journalist anakubali kuwa DC, what a waste!!
tubadilike, we can sustain our families bila hata political appointments
Zamani nilifikiri UDC ni cheo kikubwa cha maana, lakini leo nimeona unavyogawiwa bila kupima kiwango cha uwezo wa mtu na wa kujuana, sasa tutegemee nini kwa maendeleo ya nchi? Masha analijua sana hili kutokana na uwepo wake katika wizara nyeti, alivyoongea amejitahidi sana kuweka ukweli hadharani, wachache wenye kufanya alichofanya Masha wakati wangali bado kwenye minyororo ya CCM.