Masha athibitisha Vijana wengi hawaipendi CCM

Kwanza kwa aliyekuwa waziri kusema anaelimisha wanae nje bila hofu niishara kwamba hajali maslahi ya wananchi.
Out of touch.
CCM sio TANU

Ama kweli sie maskini 2na kazi kubwa sana. Halafu anadai hakuna vitabu vya historia. Kama serikali haiwapi vipaumbele waandishi hapa bongo unategemea nani ataandika kitabu cha Nyerere, Kawawa,Mkwawa na wengine. kwanza ukiandika makala ambayo ni non-fiction yenye ukweli mtupu unamwagiwa tindikali. Sasa hizo vitabu ukisema fulani kauwawa si khali yako itakua mbaya sana?
 
Hivi kuna tatizo gani kuanza kuandika upya historia ya matukio na wahusika wa matukio mbali mbali ndani ya Tanzania? Kila kitu kinapindihswa pindishwa. Why? I am very much interested kujua kwa undani participation yetu kwenye vita vya ukombozi kusini mwa Africa na michango ya wahusika mbali mbali
 
Candid Scope,
Unataka kuniambia kuwa tungekuwa na elimu bora kuliko tuliyo nayo hivi sasa vijana wetu wangeshabikia CCM? I think there is more to it than simply blaming it on education. CCM imewapoteza vijana kwa sababu kimegeuka kuwa chama cha kulaghai. Angalia ahadi alizozitoa Kikwete katika uchaguzi wa 2010. Hivi kweli unaamini Kigoma itageuzwa kuwa Dubai wakati wa utawala wa Kikwete, ambao amebakiwa na miaka mitatu tu?
Masha anapaswa kushukuru kuwa kutokana na Elimu kuwa chini chuki kwa CCM ni ndogo maana kama vijana kama wangepatiwa elimu iliyobora zaidi na kuelewa tumetoka wapi na kwanini tuko hapa basi chuki ingekuwa kubwa zaidi.Na sio ajabu wangeiondoa CCM kwa style ya Tunisia
 
Back
Top Bottom