mpyonko
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 353
- 388
Wewe ulishawahi kutafutwa ukajiangusha? Walikupa sh ngapi?/vinginevyo acha uzushi wa mambo usiyoyajuaUwa wanatafutwa mapema.wanaandaliwa.
Akikuona unakuwa mgumu.anajua si MTU wake
Anakupiga mtama.
Wewe ulishawahi kutafutwa ukajiangusha? Walikupa sh ngapi?/vinginevyo acha uzushi wa mambo usiyoyajuaUwa wanatafutwa mapema.wanaandaliwa.
Akikuona unakuwa mgumu.anajua si MTU wake
Anakupiga mtama.
Mtama ndio ngwala kata funua mweUwa wanatafutwa mapema.wanaandaliwa.
Akikuona unakuwa mgumu.anajua si MTU wake
Anakupiga mtama.
Rafiki nenda legal docs na uchambuzi, umetutupa sana huko! Nina ishu nimekuomba tafadhali sana, msaada wako ni muhimuWaache wafu wawazike wafu wenzao
Ngumi ya chembe ya moyoKuna siku nilienda kwa hawa ndugu zetu wachungaji feki enhee...we acha tuu aliimba nikaona watu wanaanguka sasa jamaa akanijia mm kila akiomba mh patupu akanitia ngumi ya chembe,nikawa nawaambia sina pepo akazidi kunitia mikofi nikaona ohooo nitulie nisije umia kwa maana walikuwa wanasemezana kuwa ninapepo mkolofi
MJINGA.Manda mimi Nina amini kuwa Pepo Wa njaa hatoki kwa Maombi Kama alivyo wa kihoro au. Wa ugonjwa piga meno lako usiku kucha ukiomba upate suti na viatu na kwa imani bila Kufanya Nazi na kupata pesa yakununua kitamba na mashono hutopewa kamww
Wewe ulishawahi kutafutwa ukajiangusha? Walikupa sh ngapi?/vinginevyo acha uzushi wa mambo usiyoyajua
Watu tuko kazini. Unajifanya mwamba? Utaangushwa hata kwa kabari.Mtama ndio ngwala kata funua mwe
Uwa wanatafutwa mapema.wanaandaliwa.
Akikuona unakuwa mgumu.anajua si MTU wake
Anakupiga mtama.
Uwa wanatafutwa mapema.wanaandaliwa.
Akikuona unakuwa mgumu.anajua si MTU wake
Anakupiga mtama.
Hata miminimetoka kapa kabisa
Hahahahah ungekufa mbwa ww, siku ingine jiangushe fasta
wakuu.
ile picha inayosambaa kuna watu wameanguka mbele ya masanja inaonekana jamaa aliwapiga wakaanguka au ni maombi ya kawaida?
vyombo vya dola vifanye uchunguzi maana hachelewi kuwasukuma watanzania wenzetu kwa mikono yake wakianguka chini anasingizia maombi.