Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Nawashangaa sana wasanii wa Tanzania. Hivi huwa wanasahau kwamba wanapenda na watu wa aina tofauti tofauti? Wangejua nafasi yao kwenye jamii hata wasingesimama kwenye majukwaa ya siasa wangehamasisha tu watu kupiga kura!