The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,415
mkuu wameelewana kulipana ila joti(acacia) kadai hana hela
Hahahahaaaamkuu wameelewana kulipana ila joti(acacia) kadai hana hela
mkuu wameelewana kulipana ila joti(acacia) kadai hana hela
Mgao wa 50/50 wakati mmoja ana 16% na mwingine 84%......ndo maana "makundi" mengi yana sambaratika....Inadaiwa masuala ya kupigana kifedha masanja alionekana anakamatia dili kubwa na kuwazidi mbali wenzie hivyo waongo wakapenya kuwaaminisha wengine anawapiga wenzie ila yameisha kabisa
Tazama jinsi ilivyo vema na kupendeza ndugu wakae pamoja kwa pamoja. Zaburi