Antonov 225
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 311
- 45
Halafu kuna wana ccm wanatuma ujumbe kwamba wana ukawa wasifanye fujo waende nyumbani. Hii ni sehemu ya kuhadaa watu ili waibe vizuri kabisa:wink:
hayo maboksi mkiyakamata chomeni moto
= goli
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Mama nilikuona wa maana jinsi ulivyokuwa unaongea kwa hisia kwenye mazishi ya Prof Kirway.kumbe wa hovyoo kabisa! Ni ni mungu yupi uliekuwa unamtaja siku ya msiba? Nimekudharau wewe na familia yako.
Ninacho kiona humu kuna kikundi cha watu au mtu mmoja anatumia multiple alias names kujaribu kueneza uzushi wenye lengo la kuwafanya watu wahamaki na kuleta fujo,watu kama nyinyi mnapaswa kufatiliwa na kuwekwa kwenye slammer mpaka Rais atakapo hapishwa.
Habari za uhakika yuko Polisi, Hanang... na masanduku yake.. ana yashapigiwa kura...!!!!
Eeeeehh... Mungu, weka mkono wako...!!!
😨😨😨 Hizi ni habari toka kwa wananchi walio hapo Polisi Hanang...!!
Nimewaambia pigeni kura mkalale -hapa kazi tu
Wakuu kwa habari za hivi punde kutoka Hanang ni kuwa Dr Mary Nagu amekamatwa na maboksi kumi ya kura yakiwa yashapigiwa kura tayari huko Hanang. Sasa hivi amekamatwa yupo Polisi,taarifa zaidi zinakuja.
Madhara ya elimu mbovu ya nyinyiem... ndo maana tunataka mabadiliko dada FF...= goli
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?