Masai apandishwa mabasi ya mwendokasi akidanganywa yanafika Arusha

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,276
21,395
Kuweni makini
Masai mmoja mwenyeji Wa karatu, kapandishwa mwendokasi akiwa na lengo la kufika Arusha, masai huyo aliyeonekana mkali sana akiwa eneo la kimara baada ya kuambiwa watu wote kuwa basi letu limefika mwisho, hapo ndo akaanza kuhoji eti rafiki kwani hii Arusha imefika, baada ya kujibiwa hii haiendi Arusha; ndo akaanza kuwaka kwa kudai ile kijana ubungo nimeilipa 35000/= na kunileta Kwa hii basi yao Mpya! Sasa hii inatangaza imefika mwisho ...kwani hii Arusha?
 
Kuweni makini
Masai mmoja mwenyeji Wa karatu, kapandishwa mwendokasi akiwa na lengo la kufika Arusha, masai huyo aliyeonekana mkali sana akiwa eneo la kimara baada ya kuambiwa watu wote kuwa basi letu limefika mwisho, hapo ndo akaanza kuhoji eti rafiki kwani hii Arusha imefika, baada ya kujibiwa hii haiendi Arusha; ndo akaanza kuwaka kwa kudai ile kijana ubungo nimeilipa 350000/= na kunileta Kwa hii basi yao Mpya! Sasa hii inatangaza imefika mwisho ...kwani hii Arusha?
350,000/- kwenda Arusha kwa basi au kwa vile kaambiwa ni mapya na ya mwendo kasi
 
asante kwa taarifa-burudani. nadhani unamaanisha kalipishwa 35,000/- maana hiyo milaki haiingii akilini labda kama ingekuwa kadanganywa mitiketi ya fastjet.
 
Kuweni makini
Masai mmoja mwenyeji Wa karatu, kapandishwa mwendokasi akiwa na lengo la kufika Arusha, masai huyo aliyeonekana mkali sana akiwa eneo la kimara baada ya kuambiwa watu wote kuwa basi letu limefika mwisho, hapo ndo akaanza kuhoji eti rafiki kwani hii Arusha imefika, baada ya kujibiwa hii haiendi Arusha; ndo akaanza kuwaka kwa kudai ile kijana ubungo nimeilipa 35000/= na kunileta Kwa hii basi yao Mpya! Sasa hii inatangaza imefika mwisho ...kwani hii Arusha?

Hapo kwenye bei pana mushkeri, mmasai wa karatu ajatoa 35,000 hata iweje
 
Masai wanavyoijua hela pimdi wakiinyala watoe kirahisi hvyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom