ninasimu yangu aina ya iphone 4 alikuwa akitumia dada yangu alipokuwa anasoma huko nje ya nchi lakini baada ya kufika hapa Tanazania akiweka line inakataa inasema no simcard nifanyeje jamani ili niweze ku unlock jamani
cmu za nje huwa zinatumia line za cdma technology,hapa kwetu ni gsm,global service for mobile communication,jaribu kuangalia kama ina settings ya kuswitch from cdma to gsm.thats all i could think of.
inaandika NO simcard au No service? kama No simcard itakuwa na tatizo katika kusoma line au itakuwa kama alivokwambia jamaa apo juu, huenda ikawa sio CDMA
ninasimu yangu aina ya iphone 4 alikuwa akitumia dada yangu alipokuwa anasoma huko nje ya nchi lakini baada ya kufika hapa Tanazania akiweka line inakataa inasema no simcard nifanyeje jamani ili niweze ku unlock jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.