Masaa 3 Kumsubiri bwana mkubwa apite

mzushi

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
3,094
Reaction score
4,256
Tunapigiwa kelele kila siku tufanye kazi na Bwana mkubwa lakini hili la kutuweka barabarani masaa 3 halikubaliki .Please tafuta njia mbadala ya kukufikisha uendako ulichotufanyia Leo wakati unaenda ngerengere si ustaarabu kabisa.ni hayo tu

 
Ccm mbere kwa mbere. Mlimpenda,mlimwamini,mlimpitisha,mlimpigia vigelegele na vifijo. Kubalini matokeo ya hayo yote.

Anko magu ukirudi ongeza masaa na kodi shilikilia hapo hapo ilipwe
 
Nasema hivi, wahamie DODOMA tu. Leo nimekaa kwenye foleni Mwenge, lisaa na nusu
Dodoma hawana nyumba za kuishi wamevamia tu instution za watu, kama hostel za vyuo kugeuzwa ofisi, makazi ya lectures kuchukuliwa, maskini waliokuwa wanakaa quoter za maghorofani kutimuliwa kama mbwa, watu kunyanganywa viwanja kisa kupisha makazi mapya..... etc
 
Unajua kujenga uchumi wa viwonder sio kitu rahisi, na hii ni mojawapo ya taratibu za uchumi huo.
By the way, nataka kujenga kiwanda na nahitaji kitalu cha makaa au mto wenye maji mengi niweze kujizalishia mwenyewe nishati yangu ...taratibu za kumilikishwa zikoje wakuu!?
 
Kwa nini hawatumii helikopta na ndege?
Ni gharama mkuu.
Labda hapa wachumi wetu wangetusaidia ...hasara inayopatikana kwa kusimamisha uchumi wa watumia barabara kwa masaa matatu au kwenda 'sheli' kujaza mafuta kwenye helkopta ili 'mleta foleni' akawahi, kipi ni gharama zaidi!?

cc: Profesa Bwana yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…