C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Juzi tuliona jinsi mwakyembe alivyokurupuka na kuwakamata kina marystella minja kuwa wameiba sijui bandarini
Ukweli ni kwamba nilivyoona ile habari nikagundua kuwa kuna watu wamechoma ile inshu , nikagundua kuwa wale kina dada ni dagaa tu leo naomba kuuliza wamefikia waoi kesi yao? Kuna mtu mwenye news zozote?
Ukweli ni kwamba nilivyoona ile habari nikagundua kuwa kuna watu wamechoma ile inshu , nikagundua kuwa wale kina dada ni dagaa tu leo naomba kuuliza wamefikia waoi kesi yao? Kuna mtu mwenye news zozote?