Mwana Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 652
- 562
Mh. Mary Nagu jana aliondokewa na baba yake mzazi hivyo naomba tuchukue nafasi hii kumpa pole sana.
Wakati wa msiba ni kuomboleza hebu tuachane na tofauti za kisiasa haswa matamshi ya kule Arumeru.
Wakati wa msiba ni kuomboleza hebu tuachane na tofauti za kisiasa haswa matamshi ya kule Arumeru.