Marufuku ya Msajili wa Vyama kuwa viongozi wa Dini wasishiriki kwenye siasa iko sawa

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,177
7,750
Binafsi nakubaliana na agizo la msajili wa vyama vya siasa Ndg. Mutungi kuwa viongozi wa kidini wasishiriki kwenye siasa za vyama badala yake wajikite kuhubiri neno la Mungu.

Hivi karibuni wamekuwa wakionekana baadhi ya maaskofu na hata masheke wakishiriki kikamilifu kwenye shughuli za kisiasa. Jambo hili ni hatari kwa umoja na mshikamano wa Taifa letu.

Siasa zetu ni tofauti sana na nchi zingine, tusiige nchi zingine, tubaki na utaratibu wetu ambao umeendelea kutufanya kuwa wamoja.

Viongozi wetu wa dini tunawaomba muwakemee viongozi wenzenu ambao kila kukicha wapo kwenye majukwaa ya kisiasa.

Nawatakia jumapili njema.
 
Binafsi nakubaliana na agizo la msajiki wa vyama vya siasa Ndg. Mutungi kuwa viongozi wa kidini wasishiriki kwenye siasa za vyama badala yake wajikite kuhubiri neno la Mungu...
Charity begins at home .. CCM wawe mfano wa kwanza kwenye hili.

Iko hivi
Dini ni mlezi wa kiroho wa mtu mwenye itikadi ya kisiasa sasa sijui hapo utawezaje kumtenga
 
Binafsi nakubaliana na agizo la msajiki wa vyama vya siasa Ndg. Mutungi kuwa viongozi wa kidini wasishiriki kwenye siasa za vyama badala yake wajikite kuhubiri neno la Mungu.

Hivi karibuni wamekuwa wakionekana baadhi ya maaskofu na hata masheke wakishiriki kikamilifu kwenye shughuli za kisiasa...Jambo hill ni hatari kwa umoja na mshikamano wa Taifa letu.

Siasa zetu ni tofauti sana na nchi zingine, tusiige nchi zingine, tubaki na utaratibu wetu ambao umeenxelea kutufanya kuwa wamoja.

Viongozi wetu wa dini tunawaomba muwakemee viongozi wenzenu ambao kila kukicha wapo kwenye majukwaa ya kisiasa.

Nawatakia jumaapili njema.
Yaani kitu kizito kimewaangukia na mmebaki na butwaa.

Hivi yule sheikh Mwaipopo alivyosimama na kuwatishia wakosoaji ulijiwa na wazo kama hili?
 
Binafsi nakubaliana na agizo la msajiki wa vyama vya siasa Ndg. Mutungi kuwa viongozi wa kidini wasishiriki kwenye siasa za vyama badala yake wajikite kuhubiri neno la Mungu.

Hivi karibuni wamekuwa wakionekana baadhi ya maaskofu na hata masheke wakishiriki kikamilifu kwenye shughuli za kisiasa. Jambo hill ni hatari kwa umoja na mshikamano wa Taifa letu.

Siasa zetu ni tofauti sana na nchi zingine, tusiige nchi zingine, tubaki na utaratibu wetu ambao umeenxelea kutufanya kuwa wamoja.

Viongozi wetu wa dini tunawaomba muwakemee viongozi wenzenu ambao kila kukicha wapo kwenye majukwaa ya kisiasa.

Nawatakia jumaapili njema.
Ngoja nimuulize Yesu alivyokuwa anabishana na Wafarisayo na Wasadukayo nisikie atasemaje!🤔
cc:dokezo sabili kwa "askofu" Gwajima(MB)
 
Binafsi nakubaliana na agizo la msajiki wa vyama vya siasa Ndg. Mutungi kuwa viongozi wa kidini wasishiriki kwenye siasa za vyama badala yake wajikite kuhubiri neno la Mungu.

Hivi karibuni wamekuwa wakionekana baadhi ya maaskofu na hata masheke wakishiriki kikamilifu kwenye shughuli za kisiasa. Jambo hill ni hatari kwa umoja na mshikamano wa Taifa letu.

Siasa zetu ni tofauti sana na nchi zingine, tusiige nchi zingine, tubaki na utaratibu wetu ambao umeenxelea kutufanya kuwa wamoja.

Viongozi wetu wa dini tunawaomba muwakemee viongozi wenzenu ambao kila kukicha wapo kwenye majukwaa ya kisiasa.

Nawatakia jumaapili njema.
Unaongelea Umoja hupi wewe una Umoja nawanao fanya anasa Kwa Kodi zetu uku Wananchi wakiwa dhiki kubwa
 
Binafsi nakubaliana na agizo la msajiki wa vyama vya siasa Ndg. Mutungi kuwa viongozi wa kidini wasishiriki kwenye siasa za vyama badala yake wajikite kuhubiri neno la Mungu.

Hivi karibuni wamekuwa wakionekana baadhi ya maaskofu na hata masheke wakishiriki kikamilifu kwenye shughuli za kisiasa. Jambo hill ni hatari kwa umoja na mshikamano wa Taifa letu.

Siasa zetu ni tofauti sana na nchi zingine, tusiige nchi zingine, tubaki na utaratibu wetu ambao umeenxelea kutufanya kuwa wamoja.

Viongozi wetu wa dini tunawaomba muwakemee viongozi wenzenu ambao kila kukicha wapo kwenye majukwaa ya kisiasa.

Nawatakia jumaapili njema.
Amvue ubunge askofu mbunge wa Kawe anayefanya siasa ndani ya kanisa lake kama alivyokuwa akifanya askofu mama Lwakatare.
 
Binafsi nakubaliana na agizo la msajiki wa vyama vya siasa Ndg. Mutungi kuwa viongozi wa kidini wasishiriki kwenye siasa za vyama badala yake wajikite kuhubiri neno la Mungu.

Hivi karibuni wamekuwa wakionekana baadhi ya maaskofu na hata masheke wakishiriki kikamilifu kwenye shughuli za kisiasa. Jambo hill ni hatari kwa umoja na mshikamano wa Taifa letu.

Siasa zetu ni tofauti sana na nchi zingine, tusiige nchi zingine, tubaki na utaratibu wetu ambao umeenxelea kutufanya kuwa wamoja.

Viongozi wetu wa dini tunawaomba muwakemee viongozi wenzenu ambao kila kukicha wapo kwenye majukwaa ya kisiasa.

Nawatakia jumaapili njema.
hv bandari inahitaj siasa ? au huelew nin maana ya siasa?
 
Charity begins at home .. CCM wawe mfano wa kwanza kwenye hili.

Iko hivi
Dini ni mlezi wa kiroho wa mtu mwenye itikadi ya kisiasa sasa sijui hapo utawezaje kumtenga
swala la bandari halihitaj siasa , hz siasa zao kila mahali ndo zinatiuharibia nchi yetu
 
Binafsi nakubaliana na agizo la msajiki wa vyama vya siasa Ndg. Mutungi kuwa viongozi wa kidini wasishiriki kwenye siasa za vyama badala yake wajikite kuhubiri neno la Mungu.

Hivi karibuni wamekuwa wakionekana baadhi ya maaskofu na hata masheke wakishiriki kikamilifu kwenye shughuli za kisiasa. Jambo hill ni hatari kwa umoja na mshikamano wa Taifa letu.

Siasa zetu ni tofauti sana na nchi zingine, tusiige nchi zingine, tubaki na utaratibu wetu ambao umeenxelea kutufanya kuwa wamoja.

Viongozi wetu wa dini tunawaomba muwakemee viongozi wenzenu ambao kila kukicha wapo kwenye majukwaa ya kisiasa.

Nawatakia jumaapili njema.


Bandari sio siasa🤔
 
Binafsi nakubaliana na agizo la msajiki wa vyama vya siasa Ndg. Mutungi kuwa viongozi wa kidini wasishiriki kwenye siasa za vyama badala yake wajikite kuhubiri neno la Mungu.

Hivi karibuni wamekuwa wakionekana baadhi ya maaskofu na hata masheke wakishiriki kikamilifu kwenye shughuli za kisiasa. Jambo hill ni hatari kwa umoja na mshikamano wa Taifa letu.

Siasa zetu ni tofauti sana na nchi zingine, tusiige nchi zingine, tubaki na utaratibu wetu ambao umeenxelea kutufanya kuwa wamoja.

Viongozi wetu wa dini tunawaomba muwakemee viongozi wenzenu ambao kila kukicha wapo kwenye majukwaa ya kisiasa.

Nawatakia jumaapili njema.
Muwe mnakua na akili, siyo mnakua kama watu msio na vichwa.

Yaani muingie mikataba mibovu halafu watu wakae kimya? Kisa eti mnaita ni siasa? Siasa ni zile zinazofanyika ndani ya vyama, yanayofanyika serikalini siyo siasa.

Kama kuongelea Maslahi ya taifa ni siasa, maendeleo ni siasa na afya ni siasa, basi katazeni wasifanye shughuli zozote za maendeleo, wasijenge shule, wala vyuo wala hospital.
Mijitu mmekua mipunguani kabisa, no wonder watoto wa kiume mnazidi kutoweka.
 
Pumbavu mkubw, hii Nchi kumbe Ina majinga namna hii.


Kwani amekuambia nani, Suala la Bandari ni Siasa???.



Hivi mnakuaje matahira kiwango hiki??.

Bandari ni Siasa??.
 
CCM na viongozi wake mkiwatumia kwenye Mambo yenu kitaifa na kwenye kampeni inakua hawajachanganya dini na siasa,ila wakipinga jambo la CCM na watawala wake,inakua jinai!!
20230819_130413.jpg
 
Binafsi nakubaliana na agizo la msajiki wa vyama vya siasa Ndg. Mutungi kuwa viongozi wa kidini wasishiriki kwenye siasa za vyama badala yake wajikite kuhubiri neno la Mungu.

Hivi karibuni wamekuwa wakionekana baadhi ya maaskofu na hata masheke wakishiriki kikamilifu kwenye shughuli za kisiasa. Jambo hill ni hatari kwa umoja na mshikamano wa Taifa letu.

Siasa zetu ni tofauti sana na nchi zingine, tusiige nchi zingine, tubaki na utaratibu wetu ambao umeenxelea kutufanya kuwa wamoja.

Viongozi wetu wa dini tunawaomba muwakemee viongozi wenzenu ambao kila kukicha wapo kwenye majukwaa ya kisiasa.

Nawatakia jumaapili njema.
Tunataka CCM imfukuze Askofu Gwajma ubunge mara moja kutekeleza marufuku ya Msajili wa Vyama vya siasa.
Vinginevo hizi nyuzi zenu zinakuja kutokana na chuki zenu kwa viongozi wa Dini ambao si chawa wa watawala. Nani asiyejua ghadhabu zenu kwa Askofu Mwamakula, CCT na TEC?
 
Back
Top Bottom