Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 10,152
- 18,096
Mimi ni mwamba, walokole mko na shida baadhi yenu
Huyu hakufa ila risasi 36, unadhani mchezo?Mwamba ni Yesu tu. Alipigwa, akafa na siku ya tatu akafufuka. Ameshinda kifo.
Watu mliyookoka juzi mnatabu saaaana.Imezuka tabia, siku hizi, watu wanapomuona mtu fulani ana msimamo thabiti, imara, wanamwita “Mwamba.”
Kwa mujibu wa Maandiko, "Mwamba" ni jina lenye uzito mkubwa kiroho. Jina hilo ni la Yesu Kristo peke yake, kama Maandiko yanenavyo katika 1 Wakorintho 10:4b.
Kumwita mwanadamu “Mwamba” ni kumpa utukufu asiostahili.
Yesu tu ndiye anayestahili kuitwa Mwamba.
Nawasihi kwa heshima zote, tusiguse utukufu wa Yesu.
Ndovinini ??(
Mtaifahamu kweli nayo hiyo kweli itawaweka huru(Yn 8:32). Wewe tayari umeijua kweli, kwamba hatupaswi kugusa utukufu wa Mungu. Bado tu unataka kushikilia makosa ya wengine. Hao kama wanaitwa hivyo labda hawajaujua ukweli huu. Waambie.Acha mbwembwe, Kuna watu wanaitwa God, Gehovanaa(God in Italian), Emmanuel nk
Gabriel Jesus.Kwa nini unanunua sonona-nene kwa bei rahisi hivyo?Kuna watu wanaitwa Jesus,God,Emmanuel,Raphaelna makadhalika mengi tu.Je,unajua maana ya hayo majina kabla ya hilo la Mwamba?![]()
Mm nataka niitwe mwamba nastahili kabisa that nameImezuka tabia, siku hizi, watu wanapomuona mtu fulani ana msimamo thabiti, imara, wanamwita “Mwamba.”
Kwa mujibu wa Maandiko, "Mwamba" ni jina lenye uzito mkubwa kiroho. Jina hilo ni la Yesu Kristo peke yake, kama Maandiko yanenavyo katika 1 Wakorintho 10:4b.
Kumwita mwanadamu “Mwamba” ni kumpa utukufu asiostahili.
Yesu tu ndiye anayestahili kuitwa Mwamba.
Nawasihi kwa heshima zote, tusiguse utukufu wa Yesu.
Uzwazwa unasumbua. Haya wangemwambia jiwe wangeeleweka, Mbona wao wanaitana chawa na hakuna anayelalamika?Imezuka tabia, siku hizi, watu wanapomuona mtu fulani ana msimamo thabiti, imara, wanamwita “Mwamba.”
Kwa mujibu wa Maandiko, "Mwamba" ni jina lenye uzito mkubwa kiroho. Jina hilo ni la Yesu Kristo peke yake, kama Maandiko yanenavyo katika 1 Wakorintho 10:4b.
Kumwita mwanadamu “Mwamba” ni kumpa utukufu asiostahili.
Yesu tu ndiye anayestahili kuitwa Mwamba.
Nawasihi kwa heshima zote, tusiguse utukufu wa Yesu.