Marufuku CD za Rogo, Uamsho na Ilunga

Marufuku CD za Rogo, Uamsho na Ilunga

Status
Not open for further replies.
Yote tufanya lakini tujue muumba wetu sote ni mungu na kiuhakika kwa madheebu yote, kuua mwenzako au kuaribu mali za mwenzako ni dhambi isiyosameheka, nanukuu: "na ninawaumba kwa mfano wangu". kumbe ninapomuua mwenzangu nimeua mfano wa mungu. TUJIADHARI SANA"
 
Tusio waislamu tunaitwa kafiri.
LAKINI KUMBUKENI WOTE TUMETOKA KWA MUNGU.
Mnaweza kudhani nyinyi ni wamoja kumbe kuna SUNI NA SHIA.
JANA TU NIMEONA VIJANA WA KISLAMU WAKIJIANDIKISHA TUNISIA KWENDA KUPIGANA JIHADI SYRIA,lakini cha ajabu wote ni waislam na wanaenda kuwapiga wenzao waislamu kisa wao ni DHEHEBU TOFAUTI LA KIISLAM NA DHEHEBU LA RAISI ASAD.
madai yenu ya kuongoza nchi kwa sheria za kiislam tena kwa mabavu si jambo jema.
MIMI NAONA NI BORA MUENDESHE JUMUIYA ZENU ZOTE ZA KIISLAM KWA SHARIA LAKINI SIO NCHI.endesheni mambo yenu yote kwa sheria zenu lakini mambo ya wengine hayawahusu hata kidogo kama ambavyo sisi hayatuhusu mambo yenu.
NCHI HII HAINA HATI MILIKI YA KUENDESHWA KIKRISTO WALA KIISLAM.
wala hapakuwepo na hizi dini zinazotugombanisha.
KWANZA SEHEMU KUBWA YA WAUMINI WOTE WAMERITH DINI NA HAUKUWA UAMUZI WAO,mfano mimi leo ni mkristo kwa sababu nilizaliwa na wakristo,na ningekuwa muislamu kama ningezaliwa kwenye familia ya kiislamu.
HATA WEWE ULIYE MUISLAMU UNGEWEZA KUWA MKRISTO.
Hapo umesema kweli kabisa,tungepata watu kama nyie mkaendelea kuwaelimisha hawa wenzetu nina imani kuna siku wangefunguka macho.
 
MARUFUKU CD ZA ROGO,UAMSHO NA ILUNGA.


Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar inayoongozwa na Dr Shein na Makamo wake Maalim Seif kupitia Jeshi la Polisi wamepiga marufuku rasmi cd zote za mawaidha ya Kiislam za UAMSHO,MUJAHID ABOUD ROGO na SHEIKH ILUNGA.

Hayo alisema ocd wazamani Murtad MKADAM ambae kwasasa yupo ofisi kuu ya polisi kitengo cha madawa ya kulevya Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif.

Alisema cd hizo za kiislam ni chanzo cha uvunifu wa amani hapa nchini na ndio zinazosababisha uchochezi baina ya dini ya ukiristo na uislam. Akifafanua alibainisha kuwa mpaka sasa washawakamata watu kadhaa wanaojihusisha kuuza cd hizo na kuwaonya wale wote ambao huweka kuzisikiliza watachukuliwa hatu kwani serikali ina mkono mrefu.

Akijibu baadhi ya maswali aliyoulizwa kwamba waliowakamata hawawaoni kuwa wamewadhulumu kwa kufanya biashara halali ya uzaji cd. alijibu cd zile za mawaidha ni Haram wala sio rizki ya halali kwa upande wa serekali kwani zinapelekea uvunjifu wa Amani katika nchi.





Photo: SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA YA ZANZIBAR YAPIGA MARUFUKU CD ZA ROGO,UAMSHO NA ILUNGA.

Mh. Dr. Ally Mohamed Shein, Karibu sana kuiongoza Tanzania mwaka 2015. I Salute YOU and Thanks kwa kuchukua HATUA HIYO.
 
mi sometime huwa nabaki nacheka tu hizo mada zao mfu

Ukichanganya malalamiko ya uongo na ukweli mwisho unawachanganya wasikilizaji. Miruzi mingi humpoteza mbwa.

Daima Upotoshaji hufyonza ukweli. Hata kama kuna malalamiko ya kweli dhidi ya uislamu wenye akili zao watachanganya uongo na ukweli na kuweka kwenye kapu moja la uongo.

Hebu ona hili la Aboud jumbe huu ni uchochezi tu wa kuwarubuni watoto wa kiislamu ili kufikia malengo ya kututenganisha????? Ukute watoto hao hawana taarifa za kutosha juu ya suala hilo ni kwa nini waache kuamini!!!!!!! Ni kwa nini wasikubali kuwa kuna mfumno kristo!!!
 
Mi naona wasihangaike kuzipiga marufuku maana hayo mahubiri watu wenye akili timamu walishayapuuza, ni wajinga wahache sana wanaoweza kupotoshwa na hivyo vimahubiri, hata wakizipiga marufuku hawa wajinga wachache hayo mafundisho yameisha wakaa vichwani na nivigumu kuyafuta maana huo ndo uwezo wao na asiri yao, ndiyo haya matokeo tunayo yaona sasa, hapa Serikali ilishachelewa

Ni HERI NUSU SHARI KULIKO SHARI KAMILI
 
Wanaweza kuwazuia wasitizame kanda ila hawawezi kuwabadilisha mitazamo na misimamo yao...
 
Tusio waislamu tunaitwa kafiri.
LAKINI KUMBUKENI WOTE TUMETOKA KWA MUNGU.
Mnaweza kudhani nyinyi ni wamoja kumbe kuna SUNI NA SHIA.
JANA TU NIMEONA VIJANA WA KISLAMU WAKIJIANDIKISHA TUNISIA KWENDA KUPIGANA JIHADI SYRIA,lakini cha ajabu wote ni waislam na wanaenda kuwapiga wenzao waislamu kisa wao ni DHEHEBU TOFAUTI LA KIISLAM NA DHEHEBU LA RAISI ASAD.
madai yenu ya kuongoza nchi kwa sheria za kiislam tena kwa mabavu si jambo jema.
MIMI NAONA NI BORA MUENDESHE JUMUIYA ZENU ZOTE ZA KIISLAM KWA SHARIA LAKINI SIO NCHI.endesheni mambo yenu yote kwa sheria zenu lakini mambo ya wengine hayawahusu hata kidogo kama ambavyo sisi hayatuhusu mambo yenu.
NCHI HII HAINA HATI MILIKI YA KUENDESHWA KIKRISTO WALA KIISLAM.
wala hapakuwepo na hizi dini zinazotugombanisha.
KWANZA SEHEMU KUBWA YA WAUMINI WOTE WAMERITH DINI NA HAUKUWA UAMUZI WAO,mfano mimi leo ni mkristo kwa sababu nilizaliwa na wakristo,na ningekuwa muislamu kama ningezaliwa kwenye familia ya kiislamu.
HATA WEWE ULIYE MUISLAMU UNGEWEZA KUWA MKRISTO.

Niliona na kusikia hiyo ya watoto wa Tunisia kutoroka wazazi wao kwenda Syria kuungana na waasi dhidi ya Rais wa Syria wakidai wanakwenda kupigania JIHAD ........ nadhani waasi ni Suni na Serikalini ni Shia.

mama wa mtoto mmoja aliyetoloka alikuwa analia kwa uchungu akisema kwamba baada ya mume wake kufa ndiye mtoto pekee waliekuwa wanamtegemea kwenye familia na akawa na wasiwasi kwamba anaweza kuwekwa kwenye orodha ya magaidi kisha kufungulia mashitaka au kuuwawa.
 
Tumezoea waislam wakitetea maslah yao huitwa magaidi wachochezi na majina mengi mabaya lkn kuzuia cd ni sawa na kuzuia jua kwa ungo kwani ukweli uko wazi madai ya wazanzibar ni ya kweli na haki yao wao kutetea maslah yao lkn tunasema kila siku serikali iliyo kuwepo inaöngozwa na mfumo kristo mbona km wanataka kuzuia uchochezi ile cd ya jiwe jeusi ya kwaya hawaja ifungia
 
naona kama umeenda na wamechelewa kwani wengi wameteketea kwasababu ya wajinga wachache rip.vipi upande wa bara jamani jakaya watu wanakwisha kwa sababu ya dini.
 
ni wanafiki sana hao viongozi wa zenji, walikuwa wapi hadi wanakuja kuamuka leo kuzisimamisha wakati the whole msg has been delivered kwa wananchi? unafiki gani huo? kama wanaamini moyoni mwao kuwa ni kitu kibaya, kwanini siku ile ya kwanza tu walipoziona hawakuzisimamisha? si walizinunua wakaangalia na watoto wao, leo wanaona aibu kwasababu cd hizohizo ndizo zillizosababisha mapadri wawili zanzibar kupigwa risasi, mmoja akafa mwingine kabaki na ulemavu, na ndio hao hao waliosababisha bomb arusha....unafiki gani wa wazenji hawa, hivi wana faida gani kwa Tanzania?

hata BOKO HARAM Wametamba tangu mwaka 2009 kwani serikali ya Nigeria imejitahidi kuzungumza nao ili kufikia mwafaka jamaa hawataki sasa imeamua kupelekea jeshi lote uwanja wa mapambano.

kitakachofuata nchi za magharibi na baadhi nchi za kiarabu wataunga mkono uamuzi wa serikali ya Nigeria na kutoa misaada ya kuwatokomeza BOKO HARAM. Tunatengeneza Syria na Libya ingine.

Tatizo la makundi yenye siasa kali yanachukuwa na nchi za kiarabu jambo ambalo linatoa mwanya kwa nchi za kigeni kuingilia mambo ya ndani ya nchi hizo. nani alitegemea Saudi Arabia, marekani na Qatar wangepeleka msaada ukiwemo wa silaha kwa waasi wa Syria ili kumng'oa Asaad ambaye kwa muda mrefu ni hasimu mkuu wa nchi za magharibi na baadhi za kiarabu kama Uturuki na Jordan.
 
Tumezoea waislam wakitetea maslah yao huitwa magaidi wachochezi na majina mengi mabaya lkn kuzuia cd ni sawa na kuzuia jua kwa ungo kwani ukweli uko wazi madai ya wazanzibar ni ya kweli na haki yao wao kutetea maslah yao lkn tunasema kila siku serikali iliyo kuwepo inaöngozwa na mfumo kristo mbona km wanataka kuzuia uchochezi ile cd ya jiwe jeusi ya kwaya hawaja ifungia

CD ya Jiwe jeusi inasemaje wengine hatuaiona?
 
Tusio waislamu tunaitwa kafiri.
LAKINI KUMBUKENI WOTE TUMETOKA KWA MUNGU.
Mnaweza kudhani nyinyi ni wamoja kumbe kuna SUNI NA SHIA.
JANA TU NIMEONA VIJANA WA KISLAMU WAKIJIANDIKISHA TUNISIA KWENDA KUPIGANA JIHADI SYRIA,lakini cha ajabu wote ni waislam na wanaenda kuwapiga wenzao waislamu kisa wao ni DHEHEBU TOFAUTI LA KIISLAM NA DHEHEBU LA RAISI ASAD.
madai yenu ya kuongoza nchi kwa sheria za kiislam tena kwa mabavu si jambo jema.
MIMI NAONA NI BORA MUENDESHE JUMUIYA ZENU ZOTE ZA KIISLAM KWA SHARIA LAKINI SIO NCHI.endesheni mambo yenu yote kwa sheria zenu lakini mambo ya wengine hayawahusu hata kidogo kama ambavyo sisi hayatuhusu mambo yenu.
NCHI HII HAINA HATI MILIKI YA KUENDESHWA KIKRISTO WALA KIISLAM.
wala hapakuwepo na hizi dini zinazotugombanisha.
KWANZA SEHEMU KUBWA YA WAUMINI WOTE WAMERITH DINI NA HAUKUWA UAMUZI WAO,mfano mimi leo ni mkristo kwa sababu nilizaliwa na wakristo,na ningekuwa muislamu kama ningezaliwa kwenye familia ya kiislamu.
HATA WEWE ULIYE MUISLAMU UNGEWEZA KUWA MKRISTO.
umetoka ktk hoja ,,,,,,,,,,,,
mm cjaziangalia Hz CD lkn nahic hy c dawa kwn ht z ngono haziruhusiwi n bado zinauzwa ,,,,,
kitendo cha kupiga marufuku wkt zimezagaa n sawa n kuwaridhisha wanaolalamika n c tiba muwafaka y ugonjwa ,,,,,,,,,
suala la Syria huliewi ASAD alipingwa n wananchi w dini zote n jumuiya za kimataifa ikiwemo UN, ArAB league nk lkn rais dictator akaomba msaada kw mashia w Iran n HEZBULLAH mashia kitu kilicho badili mapambano kuwa y kimakundi kw maslahi y Israel
kuhusu neno kafir ucliogope wala lickuvunje nguvu ht catholic waliwaita wnzao protestant kabla y hao kn Sheikh Ilunga ,,,,,,,
 
... hata wakizipiga marufuku hawa wajinga wachache hayo mafundisho yameisha wakaa vichwani na nivigumu kuyafuta maana huo ndo uwezo wao na asiri yao, ndiyo haya matokeo tunayo yaona sasa, hapa Serikali ilishachelewa
Una maana jamaa ni wajinga? Hebu nifafanulie.
 
hizi cd bado zipo na zinauzwa hadahrani kabisa, hapa arusha maeneo ya cafe la aziz kuna msikiti unaitwa "masjid quba"
pale mlangoni kuna shelf limewekwa wanauza cd za uchochezi wa kidini muda wote. Jana nilipita hapo nikasikia kuna moja wameweka watu wanasikiliza, ilikuwa inazungumzia kuwa serikali imemtelekeza aboud jumbe na kumficha huko mjimwema kigamboni kwa sababu ni muislamu.
mimi nlisikia moja inayosema eti kodi ya vat ni michango inayochangishwa na serikali kwa ajili ya kusaidia vatican. Kweli kazi ipo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom